Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Sisi tucheke cheke,wahuni wameanza kuhamisha mapima barabara I na kufanya magari yapate ajari hivyo.ITV Habari 21/12/2021.
Ni miezi mitatu toka Hii Habari ikanushwe.
Msigwa upo uliko unaona najua onaona aibu .
#KataaWahuni
 
Back
Top Bottom