jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,889
Hakika ni siku ya huzuni..leo nikiwa naenda kumsalimu shemeji yangu..nikiwa nmebeba familia na zawadi kwaajili ya ugeni huu.
Baada ya kupitia barabara mbovu sijawahi ona ndani ya dsm..ipitayo moshi baa mkulemba..hakika najuta..baada ya kukata chasis ya nyuma.
Barabara hii imejaa mashimo kila kona..kiufupi haipitiki..chakushangaza zaidi ipo ndani ya jiji.
Diwani yupo..mbunge yupo..mkuu wa ilaya yupo..mkurugenzi yupo..mkuu wa mkoa yupo..tarura wapo.
I wish ningekua..
Mana iabisha sana serikali ya ccm..inaonekana hifanyi kazi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kupitia barabara mbovu sijawahi ona ndani ya dsm..ipitayo moshi baa mkulemba..hakika najuta..baada ya kukata chasis ya nyuma.
Barabara hii imejaa mashimo kila kona..kiufupi haipitiki..chakushangaza zaidi ipo ndani ya jiji.
Diwani yupo..mbunge yupo..mkuu wa ilaya yupo..mkurugenzi yupo..mkuu wa mkoa yupo..tarura wapo.
I wish ningekua..
Mana iabisha sana serikali ya ccm..inaonekana hifanyi kazi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app