Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Tatizo letu watu wa mipango (planners) wetu wako na shida kidogo kama sio sana, cjui huwa hawajui au wanafanya maksudi, yaani kuna mambo yanafanyika mpaka unashika kichwa, vibarabara vinajengwa day two inaonekana haifai, Mf. Tatizo la foleni Tabata lin litaisha maana barabara nyembamba na hakuna hata pakupanulia maana kote kumejengwa