blackhawk
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 262
- 571
Kwema wana JF
Kuna hii barabara kutoka Urafiki hadi mabibo mwisho mwanzo ilikua mbovu sana ilikua na kero kubwa
Hivyo hivi karibuni mkandarasi aliingia kuanza marekebisho imerekebishwa kwa kama asilimia 50 kama wiki mbili sasa naona imeshia hapo na imefunguluwa watu wanaitumia ikiwa haijaisha
Najiuliza ndio imekamilika au mkandarasi ametimua nini hatma ya hii barabara maana mimi ni mdau mkubwa ndio nakatiza sana kwenda shughulini sasa ?
Kuna hii barabara kutoka Urafiki hadi mabibo mwisho mwanzo ilikua mbovu sana ilikua na kero kubwa
Hivyo hivi karibuni mkandarasi aliingia kuanza marekebisho imerekebishwa kwa kama asilimia 50 kama wiki mbili sasa naona imeshia hapo na imefunguluwa watu wanaitumia ikiwa haijaisha
Najiuliza ndio imekamilika au mkandarasi ametimua nini hatma ya hii barabara maana mimi ni mdau mkubwa ndio nakatiza sana kwenda shughulini sasa ?