lnawezekana kuwa sina maarifa yoyote ya uhandisi wa barabara,au hata ufahamu katika ujenzi wa barabara!! but kukwanguliwa kwa barabara ya lami ambayo iko vizuri inayoanzia traffick light za karibu ya eneo la chako ni chako kuelekea uwanja wa jamhuri !! katika manispaa ya dodoma kumenisikitisha sana!!! kwann fedha zitakazotumika kujenga barabara hiyo upya zisingetumika kutengeneza barabara za maeneo mengine kuliko kukwangua lami ya barabara ambayo ni nzima?.