Barabara ya kutoka Mabibo NIT hadi sokoni kuingia Morogoro Road ni Kero Mno

Weka picha na sisi wa mikoani tuione
Hio hapo.
EqkDFghW4AIa8Gy.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo barabara ni muda mrefu sana zaidi ya hata miaka 2 ipo katika ubovu huo huo, cha ajabu tuna DED wa Ubungo, DC na watendaji wengine lakn wala hawajishughulishi na hio road

Cha ajabu Serikali ipo busy kutengeneza barabara za lami ndani ya mitaa ambapo mitaa mingi tu hakuna route ya daladala inayokatiza afu wanaacha kukarabati barabara kama hizi ambazo 24hrs zipo busy kupitisha public n private vehicles,
sasa unashindwa kuelewa hivi ni kina nani wanaofanya 'Cost and Benefit análysis' ya hii miradi ya barabara

Tuendelee kuomba kwa Mungu pengine ipo siku Raisi JPM atapita maeneo hayo ktk ziara zake na dawa itakuwa imepatikana
 
Watumiaji wa hio barabara wataniunga mkono

ni kipande kidogo tu(Chini ya 500M) nafikiri, Lakini ni kero mno

Barabara ni:-

1) Nyembamba(njia 2)

2)Imepakana na soko la mabibo, hio vurugu lake nje usiombe
watembea kwa miguu, wafanyabiashara n.k

3)Mbovu, yani ina mashimo utafikiri mabwawa ya kuogelea

inafikia hatua kutoka tu NIT chuo hadi kuingia morogoro road unatumia hata zaidi ya dakika 15(kipande cha kutumia chini ya dk 5 tu)

Nitoe rai wahusika wapaangalie kwa jicho la tatu ( Au hadi jiwe afanye yake)


uzi tayar
Subiri tumalizie sgr,bwawa na kununua madege kwanza
 
tusubiri....
Hiyo barabara ni muda mrefu sana zaidi ya hata miaka 2 ipo katika ubovu huo huo, cha ajabu tuna DED wa Ubungo, DC na watendaji wengine lakn wala hawajishughulishi na hio road

Cha ajabu Serikali ipo busy kutengeneza barabara za lami ndani ya mitaa ambapo mitaa mingi tu hakuna route ya daladala inayokatiza afu wanaacha kukarabati barabara kama hizi ambazo 24hrs zipo busy kupitisha public n private vehicles,
sasa unashindwa kuelewa hivi ni kina nani wanaofanya 'Cost and Benefit análysis' ya hii miradi ya barabara

Tuendelee kuomba kwa Mungu pengine ipo siku Raisi JPM atapita maeneo hayo ktk ziara zake na dawa itakuwa imepatikana
 
last year nilileta uzi wa hicho kipande, nkalalamika Sana. Ajabu juzi mueshiwa alipoona umati ulojaa pale Mburahati kwenye kampeni aliuliza awafanyie nini watu wa ubungo, wafanyabiashara wa eneo hilo waliomba kitu kimoja tu,Kwamba rais awamilikishe soko sijui toka kwa urafiki walokuwa wakiwapa shida.Mkuu tuendelee tu kusubiria labda Siku mueshimiwa akikatisha eneo hilo ndio walio chini yake wataamka na kuona umuhimu wa njia hiyo inayopitisha madaladala yakiwemo gerezani via kigogo mpaka Mwenge, Chuo cha Nit pia kiko njia ile ile sijui Kwanini barabara haipewi kipaumbele
 
Watumiaji wa hio barabara wataniunga mkono

ni kipande kidogo tu(Chini ya 500M) nafikiri, Lakini ni kero mno

Barabara ni:-

1) Nyembamba(njia 2)

2)Imepakana na soko la mabibo, hio vurugu lake nje usiombe
watembea kwa miguu, wafanyabiashara n.k

3)Mbovu, yani ina mashimo utafikiri mabwawa ya kuogelea

inafikia hatua kutoka tu NIT chuo hadi kuingia morogoro road unatumia hata zaidi ya dakika 15(kipande cha kutumia chini ya dk 5 tu)

Nitoe rai wahusika wapaangalie kwa jicho la tatu ( Au hadi jiwe afanye yake)


uzi tayar
Pale ni kawaida sana kukaa hadi lisaa ukiwa unasubiri malori yaingie Sokoni na zile daladala zinazosimamaga kuita abiria pale barabarani na magari madogo yanayokuwa yanatafuta parking..

To be precise huwa ni mwendo wa Dakika moja tu kufika Morogoro Road kutoka pale NIT..

Yale maisha wengine tumefikia kudhani kuwa ndiyo yanapaswa kuwa vile, hata hatulalamiki tena. Kiasi kwamba Wakirekebisha huenda tukasononeka kuondolewa tulichozoea kukiishi.
 
kwa sisi ambao hatuna route nyingine zaid ya hiyo tunapata tabu sana
yaani kila ukikaribia hicho kipande unaanza kukiwazia kwanza
Pale ni kawaida sana kukaa hadi lisaa ukiwa unasubiri malori yaingie Sokoni na zile daladala zinazosimamaga kuita abiria pale barabarani na magari madogo yanayokuwa yanatafuta parking..

To be precise huwa ni mwendo wa Dakika moja tu kufika Morogoro Road kutoka pale NIT..

Yale maisha wengine tumefikia kudhani kuwa ndiyo yanapaswa kuwa vile, hata hatulalamiki tena. Kiasi kwamba Wakirekebisha huenda tukasononeka kuondolewa tulichozoea kukiishi.
 
Niwashauri tu mnaotumia hiyo barabara,ili kukwepa hicho kipande Kama unatokea NIT kuelekea Magomeni tumia njia ya Mpakani shuleni Hadi Tip top,then ingia Moro road... Na Kama unaelekea Ubungo,Sinza Rudi Hadi Mabibo mwisho then uingie Kigogo road Hadi pale Shungashunga , then Shekilango ama nyooka Hadi Ubungo Terminal.

Ni ushauri tu
 
Nahisi viongoz wakimalizana na ile shule (king'ongo) inayojengwa kwa uharaka
watahamia hii barabara kabla jiwe hajasema
 
Watumiaji wa hio barabara wataniunga mkono

ni kipande kidogo tu(Chini ya 500M) nafikiri, Lakini ni kero mno

Barabara ni:-

1) Nyembamba(njia 2)

2)Imepakana na soko la mabibo, hio vurugu lake nje usiombe
watembea kwa miguu, wafanyabiashara n.k

3)Mbovu, yani ina mashimo utafikiri mabwawa ya kuogelea

inafikia hatua kutoka tu NIT chuo hadi kuingia morogoro road unatumia hata zaidi ya dakika 15(kipande cha kutumia chini ya dk 5 tu)

Nitoe rai wahusika wapaangalie kwa jicho la tatu ( Au hadi jiwe afanye yake)


uzi tayar
Kweli inatisha, waabuduo mtu utasikia wanaimba flyover nk huku uraiani ni tabu tupu
 
Watumiaji wa hio barabara wataniunga mkono

ni kipande kidogo tu(Chini ya 500M) nafikiri, Lakini ni kero mno

Barabara ni:-

1) Nyembamba(njia 2)

2)Imepakana na soko la mabibo, hio vurugu lake nje usiombe
watembea kwa miguu, wafanyabiashara n.k

3)Mbovu, yani ina mashimo utafikiri mabwawa ya kuogelea

inafikia hatua kutoka tu NIT chuo hadi kuingia morogoro road unatumia hata zaidi ya dakika 15(kipande cha kutumia chini ya dk 5 tu)

Nitoe rai wahusika wapaangalie kwa jicho la tatu ( Au hadi jiwe afanye yake)


uzi tayar
Mpaka JPM ASEME??!!
 
Back
Top Bottom