yogan
Senior Member
- Feb 26, 2013
- 133
- 85
Heri ya sikukuu ya Eid! Sisi wakaaji wa maeneo haya niliyoyataja hapo juu tunapata taabu sana kwa kuwa miundombinu yetu ya barabara ni mbaya mno. Zamani tuliambiwa ni kwakuwa tulimchagua Diwani wa Chadema ndiyo sababu ya kunyimwa huduma hiyo. Mwaka jana Diwani huyo alirejea Ccm na akachaguliwa tena kuwa Diwani kwa tiketi ya ccm. Nauliza hv hii ni haki kweli? Diwani haonekani tumlilie nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app