Hawa mainjinia wetu waliosanifu na kusimamia hii barabara ya kimara feri nahisi uelewa wao ni mdogo sana maana hii barabara ni nyembamba huwezi overtake ! Makona kibao ! Nahisi ukikamilika ajali zitakua za nyingi sana!
umeliona ehe! Na gari kubwa likiaribika katikati bac jam yake itakuwa balah, inaitaji uangalifu sanaaaa, 10% zimefanya road kuwa nyembamba wakt sehem kubwa wameacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.