Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.
Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.
Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.
Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.
Sasa naona anaishiwa vocha!
Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.
Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.
Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.
Sasa naona anaishiwa vocha!
Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.