Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,314
- 24,177
Wanaume waliozoea bangi sasa wameingia Dar.
Na wana usongo na barabara mpya ya Mwenge mpaka Morocco. Sina uhakika kama brabara hii imeshazinduliwa , na sasa tayari jamaa wanapopoa vibanda ambavyo havina hata miezi minne.
Vibanda vya mabasi vinapopolewa na mabasi ya daladala , utafikiri madereva wake hawana akili nzuri.
Kuna mtu aliwahi kusema mswahili aliyezoea gari la punda, kumleta mjini atajitanua kama zote.
Na wana usongo na barabara mpya ya Mwenge mpaka Morocco. Sina uhakika kama brabara hii imeshazinduliwa , na sasa tayari jamaa wanapopoa vibanda ambavyo havina hata miezi minne.
Vibanda vya mabasi vinapopolewa na mabasi ya daladala , utafikiri madereva wake hawana akili nzuri.
Kuna mtu aliwahi kusema mswahili aliyezoea gari la punda, kumleta mjini atajitanua kama zote.