johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Sehemu ya barabara ya Mwenge - Morocco inayoendelea kujengwa imefunikwa na maturubai kuizua isilowane na maji ya mvua.
Ingekuwa ni mkandarasi mzalendo ndiye kafanya hivi ningeanza kupata mashaka juu ya ubora wa hii barabara lakini kwa sababu inajengwa na Wajapani ngoja nimtafute yule rafiki yangu Injinia wa kijapan kwa ufafanuzi.
Nitaleta mrejesho.
Maendeleo hayana vyama!
Ingekuwa ni mkandarasi mzalendo ndiye kafanya hivi ningeanza kupata mashaka juu ya ubora wa hii barabara lakini kwa sababu inajengwa na Wajapani ngoja nimtafute yule rafiki yangu Injinia wa kijapan kwa ufafanuzi.
Nitaleta mrejesho.
Maendeleo hayana vyama!