Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
zile bar mbili zilizokuwa zimefungiwa na serikali ya mtaa ya buguruni kwa mnyamani sasa zimerudishiwa huduma zake kwa
wateja kwa sasa kwa wale waliokuwa wakipita na kukuta bar hizo zimefungiwa.....na mlikuwa mkipata shida sasa huduma zimerudishwa..........
source:mimi nakaaa maeneo hayo jana nilipita....jioni
wateja kwa sasa kwa wale waliokuwa wakipita na kukuta bar hizo zimefungiwa.....na mlikuwa mkipata shida sasa huduma zimerudishwa..........
source:mimi nakaaa maeneo hayo jana nilipita....jioni