Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
Kwa wale ndugu zangu mnaopenda kwenda kujipumzisha siku za weekend na kupoteza muda bar ya kimboka na club ginevva inayokesha mpaka asubuhi zimefungiwa kutokana na
1.wizi wa nje nje uliokuwa ukifanywa na vijana wa kihuni
2.kuongezeka kwa malaya walio kati ya umri miaka 10 mpaka 16
3.wanafunzi wengi wa shule za msingi kuonekana wakifanya biashara eneo hiloo........
Kwa hiyo wateja wote mnashauliwa ..........kwenda eneo la bar ya sewa kwani kuna ulinzi wa kutosha
Nakuona mdau wa buguruni,............