Bar ya Aunty Ezekiel yafungwa

Msiojua biashara ni nini mtamcheka Aunt Ezekiel! Nadhani Wafanyabiashara mnaelewa Hustle ambazo huwa mnapitia hadi biasha isimame! Kuna muda kwenye Biashara Utapigwa matukio hadi utamani kuua mtaa mzimaa lakini unapiga moyo konde! Kuna Muda kwenye Biashara Unafilisika mara 10 lakini ukikata tamaa ndio umekwisha japo waaulimwengu hawawezi kosa Sababu!

Nachokijua Hawa wafanya biashara wakubwaa duniani hakuna aliefanikiwa chini ya Miaka 15 karibia wote wame hustle zaidi ya Miaka 15 hadi biashara zao kuja kusimama na kuendelea! Ninacho kiona hapa ni kwasababu Aunt Ezekiel ni Mtu anae fahamika ndio shida ila huko mtaani biashara nyingi tuu zinakufa na kuzaliwa hadi mtu atakapo kuja kufanikiwa! Ukichanganya na Masharti Ya Serikalii Biashara Tanzania Ni Ngumu sanaa hadi kufanikiwaa Unaweza kuta mtajii wote unaishia kwenye kutafuta Vibali! Ndio maana Wanasema Enterpreniuer yoyote lazima Uwe mbabe ili ufanikiwe! Usione Hizi hospital mnaenda kutibiwa mnapona Jua ameshafungiwa mara kadhaa ameshapigwa vita vya kila aina,Msione hizi bar mnaenda mnalewa mkazani zimeibuka tuu! Vitu ni Vingi! Watu Wenye Makanisa Tuu Wanapata Tabu Sembuse Bar? Kifupi Biashara ni Ngumu na inahitaji ujasiri na uvumilivu.

Ukiona Mtu amefunga biashara yake Usimchekee nenda kajifunze kwake itakusaidia! Sio kazi nyepesi! Huwa napenda sana kujifunza kupitia waliofanikiwa kujua changamoto kifupi changamoto ni nyingi usipo funga biashara yako basi polisi utaendaa either kwa kushtakiwa au kwa kushtaki!

Hakuna Mafanikio yanayo kuja by Chance! Kila kitu ni kupambana nikoona mwanamke kama Aunt anapambana namuheshimu sanaaa Nakumbuka Mama Angu alipambana kunilea kwa kuuza Nyasi za Kuezekea Nyumba! Mwisho wa Siku Maisha yailienda Jabo hiyo biashara pia alipigaa vita vilevile! Tumseme Mtu kwa Yote Kuhusu biashara acheni kama ilivyoo! Ukiona Umeanza leo kuuza nguo na kusema umefanikiwa ndani ya Wiki 1 jua biashara yako haitakuwa Kamwee!! Kuna Watu wanaacha Kazi maofisini wanalipwa millioni 5 lakini wanaenda kwenye biashara zinakufa mara kadhaa lakini wanasimama imara

Kwenye biashara mataifa haya nayapenda sana INDIA,ETHIOPIA,ZIMBABWE yaani Mmoja Akiwa Na Duka Atafanya kila namna amelete Mwenziee nae afanikiwe kwa njia yoyote ile ILA SIO TANZANIA akifanikiwa anataka afanikiwe yeye tuu ili amcheke mwenzie

AUNTY WAKUCHEKE,WAKUSEME USIKATE TAMAAA PAMBANAA HADI DAKIKA YA MWISHO IKIWEZEKANA ACHA KUIGIZAAA SIMAMIA BIASHARA YAKO.
Kwa Tanzania utapata watu wengi sana na haya maelezo yako lakini siyo mimi. Ni kweli katika biashara kuna ups and downs lakini nazo zinatakiwa ziende kimpango. Huwezi kuamka usingizini halafu ukaanzisha biashara bila kufanya research yoyote halafu unapofeli useme ni challenge za biashara. Hili ndilo walilonalo wabongo wengi. Akiona mwenzake kafungua bar na inachanganya na yeye kesho anaenda kufuangua sehemu yake bila utafiti wowote, ukimuuliza anakuambia nimeona fulani kafungua na inalipa. Maelezo yako yanajaza watu ujinga badala ya kuwaondoa kwenye tabia ya fuata mkumbo!
 
Unaleta nadharia za darasani wakati huo ujasiriamali unaosema ni tofauti na huu wanaoufanya hawa wadangaji,hayo uliyoandika sio kwamba ndio sababu ya kufungwa hiyo bar bali mdhamini kachukua chake,

Bro Ukisema Hivyo kuna Mabilionea tunao hadi sahizi watu wana waabudu wamefanikiwa kwa Hela za Urithi kuna Tofauti Gani Na Aunty Akimtumia Mwanamume Mpumbavu kujipatia Mtaji wa Millioni 10?

Mo Dewji leo Kila Mtu anamfuata lakini kafanikiwa Kwa Hela Za Familia! Haijarishi mtaji umeupata kwa Njia Gani Mwisho wa Siku Biashara ni Ngumu sanaa Uwe umelala mtaloni ili kupata mtaji au Mjinga Kajitokeza Kukupatia Kwa Tamaa zake bado hubadirishi maana ya Ugumu Wa Biashara
 
Kwa Tanzania utapata watu wengi sana na haya maelezo yako lakini siyo mimi. Ni kweli katika biashara kuna ups and downs lakini nazo zinatakiwa ziende kimpango. Huwezi kuamka usingizini halafu ukaanzisha biashara bila kufanya research yoyote halafu unapofeli useme ni challenge za biashara. Hili ndilo walilonalo wabongo wengi. Akiona mwenzake kafungua bar na inachanganya na yeye kesho anaenda kufuangua sehemu yake bila utafiti wowote, ukimuuliza anakuambia nimeona fulani kafungua na inalipa. Maelezo yako yanajaza watu ujinga badala ya kuwaondoa kwenye tabia ya fuata mkumbo!

Ugumu wa biashara na Kufuata Mkumbo ni Vitu Viwili Tofauti! Ingekuwa Bango limeandikwa NIMEFUNGA BAR BAADA YA KUONA HAINIPI FAIDA KAMA NILIVYO AMBIWA hii ingekuwa kitu kingine lakini Pia Kwenye Biashaaraa KUIGA inaruhusiwa 100% Ndio Maana Tanzania Hamna Bar Moja Nchi Nzima! Kwenye Biashara Unaweza Nunua idea,Unaweza Azima idea,Unaweza Kuiba idea,Unaweza Fanya vitu vingi ili mwisho wa Siku Usimame na kitu kimoja! Kinacho zingatiwa ni HIGH INNOVATIONS na LOW RISK!

Huwezi kuifanyia RESEARCH BIASHA kabla ya Kufungua unless Uniambie neno Research lina maana Nyingine!

Bhakresa Alileta Twist,Mo Dewji Nae akaleta,Mwingine kaleta Azam Malt mwingine kaleta Apple Punch vitu ni vilevile ila Una vi innovate vipii ni Wewe sasa! Mwisho wa Siku maana ya Biashara itabaki vile vile.

And Naunga Mkono kwa Aunty Ezekiel Kufungua Bar Yes Alikuwa Sahihi!
 
Mama Biskuti alimpora huyo danga kwa yule muogea maziwa na yy akaona afunguliwe biashara sare sare na mwenzie ..Ndo chanzo yy na binti wa balozi wasialikwe kwenye uzinduz wa reality show juz kati hapa,Sasa juzi sponsa kadhamin birthday mama biskuti kaenda kulambanalambana na Iyobo. Sponsa kajionea mapicha picha kaamua kuchukua vyake.
Dansa kwani hana hela ya Ku-sponsor? Baba Biskuti jiongeze miuno mwachie Luiza Mbukku
 
Ugumu wa biashara na Kufuata Mkumbo ni Vitu Viwili Tofauti! Ingekuwa Bango limeandikwa NIMEFUNGA BAR BAADA YA KUONA HAINIPI FAIDA KAMA NILIVYO AMBIWA hii ingekuwa kitu kingine lakini Pia Kwenye Biashaaraa KUIGA inaruhusiwa 100% Ndio Maana Tanzania Hamna Bar Moja Nchi Nzima! Kwenye Biashara Unaweza Nunua idea,Unaweza Azima idea,Unaweza Kuiba idea,Unaweza Fanya vitu vingi ili mwisho wa Siku Usimame na kitu kimoja! Kinacho zingatiwa ni HIGH INNOVATIONS na LOW RISK!

Huwezi kuifanyia RESEARCH BIASHA kabla ya Kufungua unless Uniambie neno Research lina maana Nyingine!

Bhakresa Alileta Twist,Mo Dewji Nae akaleta,Mwingine kaleta Azam Malt mwingine kaleta Apple Punch vitu ni vilevile ila Una vi innovate vipii ni Wewe sasa! Mwisho wa Siku maana ya Biashara itabaki vile vile.

And Naunga Mkono kwa Aunty Ezekiel Kufungua Bar Yes Alikuwa Sahihi!
Nimezungungumzia ile hali ya ''kila mtu'' kuiga aina fulani ya biashara bila kutilia maanani demand and supply. Hilo ndilo baya. Unakuta mtu kaona fulani kafungua duka la nguo yeye anakimbilia kufungua la kwake na yule na yule na wale.... mwisho wake unakuta mitaa yote imejaa maduka ya nguo yanayouza bidhaa zinazofanana. Kuhusu research yes... kabla ya kufanya biashara yoyote ni lazima ufanye research ya kina kujua mambo mengi. eg: mali utanunua wapi na kwa bei gani, demand ya bidhaa unayouza maeneo yale, competitors wako ni kina nani na wamekuzidi nini, utafanyaje ili uvutie wateja, gharama za uendeshaji... kuna mambo mengi. Ndiyo maana nikasema watu wengine wanakimbilia kuanzisha biashara bila kujua hasa mambo ya msingi kuhusu ile biashara. Hapo ndipo tunaingia kwenye ile hoja yako niliyokupinga kuwa biashara ni kujaribu na kujaribu na kujaribu bila kuwa uelewa wa unachotaka kufanya.
 
Wambea wenzangu kumbe Aunty alilala polisi usiku wa tukio , nasikia alizidisha mda wa party , kumbe Ndio maana wakafunga Bar yake , Sasa Sijui mpaka lin itakua Waz au ndo ishafungwa
 
Hzo code umeniacha mkuu
Mama biskuti ni nani
Mama Biskuti alimpora huyo danga kwa yule muogea maziwa na yy akaona afunguliwe biashara sare sare na mwenzie ..Ndo chanzo yy na binti wa balozi wasialikwe kwenye uzinduz wa reality show juz kati hapa,Sasa juzi sponsa kadhamin birthday mama biskuti kaenda kulambanalambana na Iyobo. Sponsa kajionea mapicha picha kaamua kuchukua vyake.
 
Kwani nani kamcheka?
wabongo tuna roho za kichawi.hapa jukwaani watu wanamcheka huyo dada wakati wao kazi zao ni kudanga tu..muheshimu sana mwanamke anaefanya biashara kwa mazingira ya hapa kwetu bongo,anakua kapitia vikwazo vingi sana.
 
Binamu habari ndo hiyo fatilia source zako utaona yaliyomo yamo. Mbn hata birthday ya Biskuti uncle sponsa ndo alifanya na akamyima mama mtu kumualika mkata viuno wa Diamond
Ila huyo anti sijui ana wazimu gani kumuita mwanae Biskuti (cookie) heheheheh

Daaah
 
Tuzungumzie na Club ya Mkwele iliyopo Manzese, aisee jamaa anajaza sana watu.
 
Msiojua biashara ni nini mtamcheka Aunt Ezekiel! Nadhani Wafanyabiashara mnaelewa Hustle ambazo huwa mnapitia hadi biasha isimame! Kuna muda kwenye Biashara Utapigwa matukio hadi utamani kuua mtaa mzimaa lakini unapiga moyo konde! Kuna Muda kwenye Biashara Unafilisika mara 10 lakini ukikata tamaa ndio umekwisha japo waaulimwengu hawawezi kosa Sababu!

Nachokijua Hawa wafanya biashara wakubwaa duniani hakuna aliefanikiwa chini ya Miaka 15 karibia wote wame hustle zaidi ya Miaka 15 hadi biashara zao kuja kusimama na kuendelea! Ninacho kiona hapa ni kwasababu Aunt Ezekiel ni Mtu anae fahamika ndio shida ila huko mtaani biashara nyingi tuu zinakufa na kuzaliwa hadi mtu atakapo kuja kufanikiwa! Ukichanganya na Masharti Ya Serikalii Biashara Tanzania Ni Ngumu sanaa hadi kufanikiwaa Unaweza kuta mtajii wote unaishia kwenye kutafuta Vibali! Ndio maana Wanasema Enterpreniuer yoyote lazima Uwe mbabe ili ufanikiwe! Usione Hizi hospital mnaenda kutibiwa mnapona Jua ameshafungiwa mara kadhaa ameshapigwa vita vya kila aina,Msione hizi bar mnaenda mnalewa mkazani zimeibuka tuu! Vitu ni Vingi! Watu Wenye Makanisa Tuu Wanapata Tabu Sembuse Bar? Kifupi Biashara ni Ngumu na inahitaji ujasiri na uvumilivu.

Ukiona Mtu amefunga biashara yake Usimchekee nenda kajifunze kwake itakusaidia! Sio kazi nyepesi! Huwa napenda sana kujifunza kupitia waliofanikiwa kujua changamoto kifupi changamoto ni nyingi usipo funga biashara yako basi polisi utaendaa either kwa kushtakiwa au kwa kushtaki!

Hakuna Mafanikio yanayo kuja by Chance! Kila kitu ni kupambana nikoona mwanamke kama Aunt anapambana namuheshimu sanaaa Nakumbuka Mama Angu alipambana kunilea kwa kuuza Nyasi za Kuezekea Nyumba! Mwisho wa Siku Maisha yailienda Jabo hiyo biashara pia alipigaa vita vilevile! Tumseme Mtu kwa Yote Kuhusu biashara acheni kama ilivyoo! Ukiona Umeanza leo kuuza nguo na kusema umefanikiwa ndani ya Wiki 1 jua biashara yako haitakuwa Kamwee!! Kuna Watu wanaacha Kazi maofisini wanalipwa millioni 5 lakini wanaenda kwenye biashara zinakufa mara kadhaa lakini wanasimama imara

Kwenye biashara mataifa haya nayapenda sana INDIA,ETHIOPIA,ZIMBABWE yaani Mmoja Akiwa Na Duka Atafanya kila namna amelete Mwenziee nae afanikiwe kwa njia yoyote ile ILA SIO TANZANIA akifanikiwa anataka afanikiwe yeye tuu ili amcheke mwenzie

AUNTY WAKUCHEKE,WAKUSEME USIKATE TAMAAA PAMBANAA HADI DAKIKA YA MWISHO IKIWEZEKANA ACHA KUIGIZAAA SIMAMIA BIASHARA YAKO.

Hongera sana ndugu wewe una ufahamu. Biashara mpaka isimame si mchezo kabisa
 
Msiojua biashara ni nini mtamcheka Aunt Ezekiel! Nadhani Wafanyabiashara mnaelewa Hustle ambazo huwa mnapitia hadi biasha isimame! Kuna muda kwenye Biashara Utapigwa matukio hadi utamani kuua mtaa mzimaa lakini unapiga moyo konde! Kuna Muda kwenye Biashara Unafilisika mara 10 lakini ukikata tamaa ndio umekwisha japo waaulimwengu hawawezi kosa Sababu!

Nachokijua Hawa wafanya biashara wakubwaa duniani hakuna aliefanikiwa chini ya Miaka 15 karibia wote wame hustle zaidi ya Miaka 15 hadi biashara zao kuja kusimama na kuendelea! Ninacho kiona hapa ni kwasababu Aunt Ezekiel ni Mtu anae fahamika ndio shida ila huko mtaani biashara nyingi tuu zinakufa na kuzaliwa hadi mtu atakapo kuja kufanikiwa! Ukichanganya na Masharti Ya Serikalii Biashara Tanzania Ni Ngumu sanaa hadi kufanikiwaa Unaweza kuta mtajii wote unaishia kwenye kutafuta Vibali! Ndio maana Wanasema Enterpreniuer yoyote lazima Uwe mbabe ili ufanikiwe! Usione Hizi hospital mnaenda kutibiwa mnapona Jua ameshafungiwa mara kadhaa ameshapigwa vita vya kila aina,Msione hizi bar mnaenda mnalewa mkazani zimeibuka tuu! Vitu ni Vingi! Watu Wenye Makanisa Tuu Wanapata Tabu Sembuse Bar? Kifupi Biashara ni Ngumu na inahitaji ujasiri na uvumilivu.

Ukiona Mtu amefunga biashara yake Usimchekee nenda kajifunze kwake itakusaidia! Sio kazi nyepesi! Huwa napenda sana kujifunza kupitia waliofanikiwa kujua changamoto kifupi changamoto ni nyingi usipo funga biashara yako basi polisi utaendaa either kwa kushtakiwa au kwa kushtaki!

Hakuna Mafanikio yanayo kuja by Chance! Kila kitu ni kupambana nikoona mwanamke kama Aunt anapambana namuheshimu sanaaa Nakumbuka Mama Angu alipambana kunilea kwa kuuza Nyasi za Kuezekea Nyumba! Mwisho wa Siku Maisha yailienda Jabo hiyo biashara pia alipigaa vita vilevile! Tumseme Mtu kwa Yote Kuhusu biashara acheni kama ilivyoo! Ukiona Umeanza leo kuuza nguo na kusema umefanikiwa ndani ya Wiki 1 jua biashara yako haitakuwa Kamwee!! Kuna Watu wanaacha Kazi maofisini wanalipwa millioni 5 lakini wanaenda kwenye biashara zinakufa mara kadhaa lakini wanasimama imara

Kwenye biashara mataifa haya nayapenda sana INDIA,ETHIOPIA,ZIMBABWE yaani Mmoja Akiwa Na Duka Atafanya kila namna amelete Mwenziee nae afanikiwe kwa njia yoyote ile ILA SIO TANZANIA akifanikiwa anataka afanikiwe yeye tuu ili amcheke mwenzie

AUNTY WAKUCHEKE,WAKUSEME USIKATE TAMAAA PAMBANAA HADI DAKIKA YA MWISHO IKIWEZEKANA ACHA KUIGIZAAA SIMAMIA BIASHARA YAKO.
big up mkuu,,kila kitu ni kupambana na inafikia wakat fulani kwenye biashara ili usonge mbele lazima uwe na ujasili ulopitiliza ili ufanikiwe na bila kusahau uvumilivu usio na mipaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom