nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Nimemuona Salumu Mwalimu akilalamika ITV kwamba NEC wamefanya marekebisho kwenye fomu za matokeo kwa kuongeza kipengele cha idadi ya wapiga kura walioongezeka kituoni.
Wakati kawaida fomu hujazwa idadi ya kura zilizopigwa na kura zilizoharibika.
Swali safari hii kutakuwa na wapiga kura watakaongezeka vituoni, je watatoka wapi? Kazi ipo.
Wakati kawaida fomu hujazwa idadi ya kura zilizopigwa na kura zilizoharibika.
Swali safari hii kutakuwa na wapiga kura watakaongezeka vituoni, je watatoka wapi? Kazi ipo.