Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,678
- 40,880
fluids that contain hiv virus are
breast milk
blood
semen
vaginal fluids
so usijidangaye kwamba mgoma mpaka eti mchubuko utokee
naona unakuwa mtu mwema sasa.
fluids that contain hiv virus are
breast milk
blood
semen
vaginal fluids
so usijidangaye kwamba mgoma mpaka eti mchubuko utokee
Habari za mishughuliko wadau?
Watu wa mitaani wanasema kuwa kufanya mapenzi bila kinga kwa bao la kwanza halina madhara yeyote kama mmojawapo kaadhirika na HIV/AIDS, Lakini sharti moja ni kuwa lazima wote kwa pamoja mmefanya romance muda wa kutosha. Hii inatokana na kuwa partners wote watakuwa wametoa majimaji ya kutosha hivyo uwezekano wa kuchubuana hakuna. Pia wanaamini kuwa maambukizi yansababoshwa na michumbuko(damu) na sio majimaji ya wawili hao.
Je wadau kuna ukweli wa kauli hii?
Asanteni kwa michango yenu mizuri ya mawazo!!!
Kumcha Mungu ndiyo chanzo cha Maarifa. Source: Holy Bible.Waongezee maarifa mkuu wasiangamie.
Habari za mishughuliko wadau?
Watu wa mitaani wanasema kuwa kufanya mapenzi bila kinga kwa bao la kwanza halina madhara yeyote kama mmojawapo kaadhirika na HIV/AIDS, Lakini sharti moja ni kuwa lazima wote kwa pamoja mmefanya romance muda wa kutosha. Hii inatokana na kuwa partners wote watakuwa wametoa majimaji ya kutosha hivyo uwezekano wa kuchubuana hakuna. Pia wanaamini kuwa maambukizi yansababoshwa na michumbuko(damu) na sio majimaji ya wawili hao.
Je wadau kuna ukweli wa kauli hii?
Asanteni kwa michango yenu mizuri ya mawazo!!!