Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Habari za mishughuliko wadau?
Watu wa mitaani wanasema kuwa kufanya mapenzi bila kinga kwa bao la kwanza halina madhara yeyote kama mmojawapo kaadhirika na HIV/AIDS, Lakini sharti moja ni kuwa lazima wote kwa pamoja mmefanya romance muda wa kutosha. Hii inatokana na kuwa partners wote watakuwa wametoa majimaji ya kutosha hivyo uwezekano wa kuchubuana hakuna. Pia wanaamini kuwa maambukizi yansababoshwa na michumbuko(damu) na sio majimaji ya wawili hao.
Je wadau kuna ukweli wa kauli hii?
Asanteni kwa michango yenu mizuri ya mawazo!!!
Watu wa mitaani wanasema kuwa kufanya mapenzi bila kinga kwa bao la kwanza halina madhara yeyote kama mmojawapo kaadhirika na HIV/AIDS, Lakini sharti moja ni kuwa lazima wote kwa pamoja mmefanya romance muda wa kutosha. Hii inatokana na kuwa partners wote watakuwa wametoa majimaji ya kutosha hivyo uwezekano wa kuchubuana hakuna. Pia wanaamini kuwa maambukizi yansababoshwa na michumbuko(damu) na sio majimaji ya wawili hao.
Je wadau kuna ukweli wa kauli hii?
Asanteni kwa michango yenu mizuri ya mawazo!!!