Banned Drugs

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
DANGEROUS DRUGS HAVE BEEN GLOBALLY DISCARDED BUT ARE AVAILABLE IN INDIA.

India has become a dumping ground for banned drugs; also the business for production of banned drugs is booming. Plz make sure that u buy drugs only if prescribed by a doctor (Also, ask which company manufactures it, this would help to ensure that u get what is prescribed at the Drug Store) and that also from a reputed drug store. Not many people know about these banned drugs and consume them causing a lot of damage to themselves.

We forward Jokes and other junk all the time. This is far more important.

Please Make sure u forward it everyone u know.[/
B]


PHENYLPROPANOLAMINE:
cold and cough. Reason for ban: stroke.
Brand name: Vicks Action-500
________________________________________________________________________
ANALGIN:
This is a pain-killer. Reason for ban: Bone marrow depression.
Brand name: Novalgin
___________________________________________________________
CISAPRIDE:
Acidity, constipation. Reason for ban: irregular heartbeat
Brand name: Ciza, Syspride
____________________________________________________________
DROPERIDOL:
Anti-depressant. Reason for ban: Irregular heartbeat.
Brand name: Droperol
______________________________________________________________
FURAZOLIDONE:
Antidiarrhoeal. Reason for ban: Cancer.
Brand name: Furoxone, Lomofen
_____________________________________________________________
NIMESULIDE:
Painkiller, fever. Reason for ban: Liver failure.
Brand name: Nise, Nimulid
________________________________________________________________________

NITROFURAZONE:
Antibacterial cream. Reason for ban: Cancer.
Brand name: Furacin
________________________________________________________________________

PHENOLPHTHALEIN:
Laxative. Reason for ban: Cancer.
Brand name : Agarol
_________________________________________________________________

OXYPHENBUTAZONE:
Non-steroidal anti-inflammatory drug. Reason for ban: Bone marrow depression.
Brand name: Sioril
_______________________________________________________________________
PIPERAZINE:
Anti-worms. Reason for ban: Nerve damage.
Brand name: Piperazine
________________________________________________________________________
QUINIODOCHLOR:
Anti-diarrhoeal. Reason for ban: Damage to sight.
Brand name: Enteroquinol
 
NIMESULIDE:
Painkiller, fever. Reason for ban: Liver failure.
Brand name: Nise, Nimulid

Hii nimewahi kuitumia zaidi ya mara mbili tena kwa prescription ya Daktari. ni muhimu pia kuwafikishia na wenzetu ili wafahamu hizi dawa hazifai. dah sijui kama ini langu limenusurika
 
NIMESULIDE:
Painkiller, fever. Reason for ban: Liver failure.
Brand name: Nise, Nimulid

Hii nimewahi kuitumia zaidi ya mara mbili tena kwa prescription ya Daktari. ni muhimu pia kuwafikishia na wenzetu ili wafahamu hizi dawa hazifai. dah sijui kama ini langu limenusurika

Pole sana ndugu yangu. Mara nyingi sisi watumiaji wa haya madawa tunakuwa aidha si wenye kufahamu kama dawa tulizo andikiwa kuwa zina madhara au tunawaamini sana madaktari wetu au tunakuwa hatuna budi kutumia. hususan sisi raiya wa nchi daraja la tatu.

Kila dawa ina madhara yake unapoitumia kwa muda mrefu, lakini inapotokea kuwa dawa imepigwa marufuku hii inaonyesha kuwa kuna asilimia kubwa kwa mtumiaji kuathirika katika kipindi kifupi cha matumizi wa hizo dawa alizo andikiwa.

Mfano hii dawa ya Nimulid (Nimesulide) hii ni dawa kutoka marekani (USA). Lakini cha ajabu ndani ya nchi ya Amerikan dawa hii haijawa approved kutumiwa. Vile vile hairuhusiwi kutumia katika nchi zipatazo 160 zikiwemo UK, Australia, Canada n.k.

Na kwa zile nchi zenye kuruhusu matumizi ya dawa hii, wanakupa pale tu maumivu yako ni makali sana au kama una kitu kinaitwa osteoarthritis (baridi yabisi) mara nyingi maumivu haya huwapata wazee. Pia kwa wanawake wenye kupata maumivu makali wakati wa kupata hedhi. Ila hairuhusiwi kwa wenye kuwa na homa na hairuhusiwi kwa vijana chini ya umri wa miaka 12.

Pia kuna dawa nyingine inaitwa Lyrica, hii pia ni dawa ya maumivu, ila haijapigwa marufuku na inatumika sana kutibu maumivu. Dawa hii inamatatizo yake kwanza hairuhusiwi kwa mtu mwenye umri chini ya miaka 18, pia unapotumia unaweza kupata madhara kadhaa yakiwemo:
*Kuongezeka kwa hamu ya kula au kinyume chake.
*Kuhisi kuchanganyikiwa, kushindwa kufikiria vema.
*Kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi, na kutoweza kusimamisha vema.
*Inakufanya husiwe muangalifu.
*Kutoona vizuri, blurred vision au double vision.
*Kuvimba kwa baadhi ya viungo
*kukauka kwa midomo na macho n.k.
*Matatizo ya matumizi ya dawa hii ni mengi lakini inatumika kutibu ugonjwa wa kifafa. Sasa wataalam bado wapo katika kuiangalia. Kama matatizo yatakuwa mengi inaweza kupigwa marufuku lah kama matatizo yatakayo wapata watumiaji ni madogo itaendelea kutumika.

Tuombe Mungu tu tunapotumia haya madawa otherwise hatuna jinsi.
 
Hii NIMESULIDE nakumbuka kuitumia miaka kama mitatu iliyopita. Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu ya jino na sikutaka kung'oa, basi Dr wa hospitali moja karibu na bahari, akaniambia hiyo dawa ni kiboko ya maumivu, na kweli maumivu yalitulia. Kumbe alinilisha kasa!
 
Hii NIMESULIDE nakumbuka kuitumia miaka kama mitatu iliyopita. Nilikuwa nasumbuliwa na maumivu ya jino na sikutaka kung'oa, basi Dr wa hospitali moja karibu na bahari, akaniambia hiyo dawa ni kiboko ya maumivu, na kweli maumivu yalitulia. Kumbe alinilisha kasa!

Oooh! Pole Mama, ila wakati mwingine hata Kasa ufaha kuwa kitulizo cha njaa...!
 
Back
Top Bottom