Banki Kuu ya Dunia yakubali kuipa Tanzania mkopo wa shilingi Sh1.03 trillion

Mimi nilijua zile za elimu zimetoka!!
Ila mbona kila tukigeuka kulia ni kukopa,kushoto nako ni kukopa!Daaah!
Kama hoja ya mojawapo ya Zitto ilikuwa pesa hizo zikitolewa mwaka huu zinaenda kuwasaidia CCM kwenye uchaguzi, kwa hivyo hizi za TASAF hazitawezekana kuwasaidia CCM?

Tafakari.
 
Pesa/mkopo wa bank ya dunia kwa ajili ya TASAF ulikuwepo tangu enzi za mkapa wewe. Pesa inatolwwa law awamu
Yakwanza ilikuwa kuibua na kujenga miradi ya wananchi kwa mkapa
Ya pili kutoa pesa kwa kaya masikini
Hii sijui ya nn. Sasa unakuja hapa na kushangilia wee utadhani cc hatujui
MNAWAMBIA WATU WATEMBEE VIFUA MBELE AF MNASHANGILIA KUKOPESHWA?
Mkopo huo utatumika kwenye Kipindi cha Pili cha TASAF, mnaopambana kuwazuia mtashindwa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hoja ya mojawapo ya Zitto ilikuwa pesa hizo zikitolewa mwaka huu zinaenda kuwasaidia CCM kwenye uchaguzi, kwa hivyo hizi za TASAF hazitawezekana kuwasaidia CCM?

Tafakari.
Kumbe ni hoja mojawapo!Pengine wameweka masharti na wamejiridhisha hazitatumika kinyume,mimi na wewe hatujui!
Zile za elimu,bado naona hawajakubaliana kuhusu mtoto atakayepata mimba!JPM akiwepa pride pembeni na akakubali kujisahihisha,zitatoka!

Hizo concerns alizoziibua Zitto zinazungumzika na zinaweza kumalizwa,sio kwamba zitakaa milele!Ndio maana serikali ilisema wanaendelea na mazungumzo na WB,hii inamaana unatafutwa ufumbuzi!
Naamini ni kwa manufaa ya wananchi wote,tafakari!
 
Na hizo pia zitakuja, maana taasisi ni ile ile, hawaendeshwi kwa fitina
Kwa hiyo katika mafunzo yote haya hamjifunzi chochote?

Nyinyi ni wazima kweli?

La, nisikulaumu wewe mpiga zumari tu usiyeelewa chochote, lakini hao unaowapigia zumari ujumbe wamekwishaupata.

Hilo ndilo lililokuwa somo, hakuna mTanzania yeyote anayetaka Tanzania inyimwe mikopo.
 
hivi lile zuiyo lilihusu pesa za Tasaf au pesa za kusadia Elimu?

Hebu tuanzie hapo kwanza.
Kipaumbele ni kusaidia wasijioweza/wenye kipato cha chini,hao wa kwenye elimu watapitia humo humo ili kuwasaidia kufanya shughuli ndogo zitakazowaingizia kipato.
Wale ambao wataona bado wanahitaji kusoma ingawa vigezo vyao havipo kwa mujibu wa Sera na miongozo ya elimu iliyopo,itabidi wajiendeleze kama watahiniwa binafsi kupitia program zilizopo mfano QT, vyuo vya ufundi stadi.
Nini maoni yako Mkuu?
 
Back
Top Bottom