Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
Nyie watu mnatatizo la paranoia. Mkienda TRA mnalalamika mistari mirefu mkiraisishiwa mnaogopa. Chamsingi ni kuhakikisha hakuna michezo michafu lakini kiujumla hii ni service nzuri..
Kufanya uzinduzi ni mojawapo ya mbinu zinazotumiwa katika kujitangaza, hivyo hao jamaa wako kibiashara zaidi na mbinu za promotion wanazifahamu. Sasa ukifanya kimya kimya nani atakufahamu?
Kwa hiyo hakuna tatizo hapo!!
wewe kama kampuni ukishakusanya kodi (ie vat) kwenye POS zile hela zinaingia kwenye account yako na wewe unapewa 30days kuwa umeshalipa tra, kila mwisho wa mwezi unatakiwa kupeleka vat za mwezi uliopita. tra na wao kama kampuni lazima wawe na account kwa ajili ya kuweka fedha zao na account hizo ziko kwenye mabenki mbali mbali. Hata ukipeleka hela tra moja kwa moja bado tra watazipeleka hizo hela kwenye account zao zilizo kwenye bank mbali mbali. nimeshalipa vat kwenye bank ya exim najua pia crdb pia wana hii huduma. tofauti kati ya bank m na bank hizi zingine ni kujitangaza kwao. kitu kidogo lazima wao wana make a meal.Naomba unisaidie; kuwa Bank M haitakusanya kodi kwa niaba ya TRA katika makubaliano ya aina yake? maana najua kuna utaratibu wa kawaida wa kukusanya kodi katika PoS na wachuuzi mbalimbali hukusanya kodi na wanatakiwa kuremit kwa TRA. Hili si jambo geni. Ila hili la Bank M ndio nataka kujua lina tofauti gani na hivi vingine? Nilivyoelewa mimi ni kuwa mtu akitaka kulipia ushuru au kodi fulani anaweza kwenda kwenye tawi la Bank M na kufanya malipo hayo kwendaa TRA, Bank M wanatumia miundo mbinu yao kuwasilisha fedha hizo TRA ndani ya dakika tano.
Hivi ndivyo au sivyo?