Bank M Kukusanya Kodi kwa niaba ya TRA - Wao wanapata nini?

Nijuavyo mimi TRA imeteua mabenki kadhaa huko nyuma kukusanya mapato kwa ajili. Haya mabenki yanafanya kazi kama wakala (agents).

Standard Chart, Stanbic, CRDB, NMB na nyingine kadhaa kutegemeana na kodi husika. Vinginevyo Mwanakijiji awe na taarifa za ziada kuhusu Bank M ila kama ni mkataba ulio sawa na mabenki niliyoyataja basi watalipwa COMMISSION.

Kukusanya kodi kuna gharama na TRA huangalia iwapo kuweka wakala ni convenient kwa mlipa kodi na gharama ndogo basi inafanyika hivyo.

Hii hoja haitakiwi jukwaa hili maana ni ya kibiashara na swali la Mwanakijiji ni la KIBIASHARA zaidi!
mkuu, issue ni je, huyu Bank Patel and Nkono ana branch ngapi na wapi? naona amepewa deal ya kukusanya kodi kubwa kadhaa!!
 
TRA inataka mambo ya ku handle cash yawe yanapitia benki,huu ni mwendelezo wa mipango ambayo imeanza muda kidogo...kwa mfano pale long room wanaopokea hela ni Citibank..na ukienda kulipia ile Road licence utaambiwa ukalipie kwenye branch ya benki pia..TRA walikuwa na mazungumzo na mabenki karibu yote kuhusu hili swala..utekelezaji benki zinapishana..na wengine wameanzisha hizi huduma kimya kimya bila launch..lakini mwishoni benki zote zenye uwezo zita participate..
 
TRA inataka mambo ya ku handle cash yawe yanapitia benki,huu ni mwendelezo wa mipango ambayo imeanza muda kidogo...kwa mfano pale long room wanaopokea hela ni Citibank..na ukienda kulipia ile Road licence utaambiwa ukalipie kwenye branch ya benki pia..TRA walikuwa na mazungumzo na mabenki karibu yote kuhusu hili swala..utekelezaji benki zinapishana..na wengine wameanzisha hizi huduma kimya kimya bila launch..lakini mwishoni benki zote zenye uwezo zita participate..

swali langu bado halijapatiwa jibu... why?
 
Hakuna ubaya wowote katika hili.
1. Kwanza ni kweli kwamba mabank mengine yana misururu milefu sana
na hayajadedicate nguvu zozote katika kuhakikisha kwamba walipa kodi
wanapata huduma ya haraka na kurudi kuendelea na shughuli zao

2.hapa hakuna swala la ubroker wala uajent bali waandishi ndio watakuwa
wapotoshaji by eny means, ambacho kitakuwa kimefanyika ni kwamba bank m
wameishawishi tra na imekubali kufungua account za kukusanyia mapato
kwenye bank hiyo.

3. Kwa nini bank m watangaze kwa nguvu sana mahusiano haya ya kawaida kabisa
na tra, ni sababu wanajua kwamba tra is the biggest organization in the country
in terms of collecting deposits (from tax payers) na kwamba ina account na mabank
mengine mengi tu, tra ina accounts nbc, nmb, crdb etc

wanachokifanya bank m ni kuutaarifu uma kwamba hata kwao tra wana collection
accounts

wanafaidika vipi, what a question? Tra hawazichuki hizo pesa instantly, hii itawasaidia
bank m kuimprove liquidity status yao, for either lending au for meeting regulatory
requirements, which every bank does.

Zaidi ni kwamba bank m wanaweza kuwashawishi tra kuziacha hizo pesa kwao kwa
muda fulani at a certain interest rate, which every bank does na hapa tra wata
kuwa wamefaidika pia.

Maswali ya kujiuliza ni kwamba, je kuna makubaliano ya tra kuziacha hizo pesa apo
kwa muda fulani, huu utakuwa ni ukiukaji wa taratibu sababu tra hawana majukumu
ya kufanya investment, zaidi ya yote pesa hizo zinatakiwa kupelekwa hazina kama
hazitakuwa zikipelekwa kwa haraka pia, huo ni ukiukaji wa taratibu, you may call
it ufisadi too

labda tu nitoe angalizo kwamba, bank m ni moja ya bank zenye matatizo ya kifedha
nchini, kwa nini tra wanakubali kudeposit pesa zao kwenye bank yenye liquidity
issues, yanahitajika majibu

mwanakijiji, sioni ufisadi wowote katika hili swala, labda kama unamaelezo ya ziada
kunifumbua macho
 
Bongo bana...How is it that an MP is also a director of a Bank? Isn't there confilict of interest?

If you ask me that shouldn't be the case. What if a bill comes into debate, for example..restricting how banks charge fees. I dont think it matters whether the MP is in a specific commitee regulating banks or not. Because ultimately the bill will come to the entire house for vote. it is clear from the get go where Nkono's vote will go.

Katiba yetu siyo tu haifai, ni ya kuchanwa na kutupwa.

Halafu ni MWENYEKITI WA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI......sasa iukitakiwa kuwa wanafunzi wote watumie bank moja kwa ajili ya mikopo yao tutegemee nini?
 
Kwani wewe Mwanakijiji unachotaka kifanyike ni nini?
TRA wakusanye hizo pesa wao wenye? so what? wakusanye then wazipeleke bank?
why shouldn't they let us take the funds to the bankers straight away?
ndio kinachofanyika, we unataka majibu gani?
 
Hakuna ubaya wowote katika hili.
1. Kwanza ni kweli kwamba mabank mengine yana misururu milefu sana
na hayajadedicate nguvu zozote katika kuhakikisha kwamba walipa kodi
wanapata huduma ya haraka na kurudi kuendelea na shughuli zao

2.hapa hakuna swala la ubroker wala uajent bali waandishi ndio watakuwa
wapotoshaji by eny means, ambacho kitakuwa kimefanyika ni kwamba bank m
wameishawishi tra na imekubali kufungua account za kukusanyia mapato
kwenye bank hiyo.

3. Kwa nini bank m watangaze kwa nguvu sana mahusiano haya ya kawaida kabisa
na tra, ni sababu wanajua kwamba tra is the biggest organization in the country
in terms of collecting deposits (from tax payers) na kwamba ina account na mabank
mengine mengi tu, tra ina accounts nbc, nmb, crdb etc

wanachokifanya bank m ni kuutaarifu uma kwamba hata kwao tra wana collection
accounts

wanafaidika vipi, what a question? Tra hawazichuki hizo pesa instantly, hii itawasaidia
bank m kuimprove liquidity status yao, for either lending au for meeting regulatory
requirements, which every bank does.

Zaidi ni kwamba bank m wanaweza kuwashawishi tra kuziacha hizo pesa kwao kwa
muda fulani at a certain interest rate, which every bank does na hapa tra wata
kuwa wamefaidika pia.

Maswali ya kujiuliza ni kwamba, je kuna makubaliano ya tra kuziacha hizo pesa apo
kwa muda fulani, huu utakuwa ni ukiukaji wa taratibu sababu tra hawana majukumu
ya kufanya investment, zaidi ya yote pesa hizo zinatakiwa kupelekwa hazina kama
hazitakuwa zikipelekwa kwa haraka pia, huo ni ukiukaji wa taratibu, you may call
it ufisadi too

labda tu nitoe angalizo kwamba, bank m ni moja ya bank zenye matatizo ya kifedha
nchini, kwa nini tra wanakubali kudeposit pesa zao kwenye bank yenye liquidity
issues, yanahitajika majibu

mwanakijiji, sioni ufisadi wowote katika hili swala, labda kama unamaelezo ya ziada
kunifumbua macho

Sheria ya kodi ya mapato iko dhahiri......mabenki yote ni wakala wa TRA kaktika kukusanya kodi....hii ni special bank product na ndio maana imezinduliwa...hapa TRA inatumika na Bank M.....kama kweli inachukua dakika 5 hebu imagine toka tarehe 1 mpaka tarehe 30 watakapo remit kwa TRA Bank M itakuwa imekalia pesa ngapi za umma interest free?
 
mkuu, issue ni je, huyu Bank Patel and Nkono ana branch ngapi na wapi? naona amepewa deal ya kukusanya kodi kubwa kadhaa!!

Hata wangekuwa na tawi moja bado hakuna shida kwa sababu tax collection haiko exclusive kwa Bank M pekee. Tuacheni siasa kwenye mambo yaliyo straight. Majembe anapopewa kukusanya madeni ya TRA kwa wadaiwa sugu huwa ana tawi Karagwe na anafaidikaje???
Ndio maana nasema kama kuna mtu ana taarifa za ziada ku-fault Bank M kuwa agent wa TRA aseme tujue.

Taifa_Kwanza ameelezea hapo juu jinsi Bank M au benki yoyote inawezaje kufaidika na arrangement ya namna hii.
Mimi napata shida kwa swali la Mwanakijiji kwanini ameuliza Bank M wanapata nini na asiulize Mabenki yanapata nini maana utaratibu huu haukuanza leo na Mwanakijiji anajua hilo toka zamani.

Tatizo kwamba Mkono au Mkapa au Patel wako nyuma ya Bank M halifanani na swali la Mwanakijiji. Isipokuwa pale influence yao imetumika visivyo kuipatia Bank M deal hii.

FYI, Bank M wanafungua (kama hawajafungua) tawi hivi karibuni Mwanza - Njia ya kwenda Tilapia Hotel
 
Safi sana Bank M - Pale Mwenge TRA foleni ilikuwa inafika mpaka Barabarani!

Nadhani NMB wataacha kubweteka!
 
Hata wangekuwa na tawi moja bado hakuna shida kwa sababu tax collection haiko exclusive kwa Bank M pekee. Tuacheni siasa kwenye mambo yaliyo straight. Majembe anapopewa kukusanya madeni ya TRA kwa wadaiwa sugu huwa ana tawi Karagwe na anafaidikaje???
Ndio maana nasema kama kuna mtu ana taarifa za ziada ku-fault Bank M kuwa agent wa TRA aseme tujue.

Taifa_Kwanza ameelezea hapo juu jinsi Bank M au benki yoyote inawezaje kufaidika na arrangement ya namna hii.
Mimi napata shida kwa swali la Mwanakijiji kwanini ameuliza Bank M wanapata nini na asiulize Mabenki yanapata nini maana utaratibu huu haukuanza leo na Mwanakijiji anajua hilo toka zamani.

Tatizo kwamba Mkono au Mkapa au Patel wako nyuma ya Bank M halifanani na swali la Mwanakijiji. Isipokuwa pale influence yao imetumika visivyo kuipatia Bank M deal hii.

FYI, Bank M wanafungua (kama hawajafungua) tawi hivi karibuni Mwanza - Njia ya kwenda Tilapia Hotel

Sheria ya kodi ya mapato iko dhahiri......mabenki yote ni wakala wa TRA kaktika kukusanya kodi....hii ni special bank product na ndio maana imezinduliwa...hapa TRA inatumika na Bank M.....kama kweli inachukua dakika 5 hebu imagine toka tarehe 1 mpaka tarehe 30 watakapo remit kwa TRA Bank M itakuwa imekalia pesa ngapi za umma interest free?
 
swali langu bado halijapatiwa jibu... why?

Soma majibu ya Taifa_Kwanza.
Nje ya hapo itabidi tuutafute huo mkataba tusome yaliyomo otherwise tutaendelea kukupa majibu yale yale.
Kama mpaka post #71 hujapata nga jibu moja and by knowing your good reputation in here we may be forced to think otherwise.
 
kazi ya benki ni nini???? kuwa wakala kama majembe?????? kwa hiyo benki M'(kapa) ni wakala kama majembe....
 
wow... tatizo langu ni benki kuingia makubaliano ambayo hayajawekwa wazi wa kwanini mabenki yanatumika kwa mtindo huo kukusanya kodi. Bado sijaelewa tatizo la TRA kukusanya kodi liko wapi hasa hadi kulazimika kufanya makubaliano ya aina hii. Bado sijaeleweshwa. Kwenye nchi ambayo ufisadi ni utamaduni kila kitu kinachofanywa na serikali au taasisi zake wananchi wanatakiwa kuhoji na wapatiwe majibu ya kuridhisha.

Dah!! ahsante sana.
Mimi sina tatizo na kuwepo huduma nzuri za haraka. Nimesoma habari yote nakutana na neno 'kwa dakika tano' kila mahala. Najiuliza hivi Bank M wanatoa huduma hii bure? na kama ni bure kwanini haielezwi wazi. Kama mteja atalipia transaction charges kuna ubaya gani kusema! Nina ogopa isije ikawa yale ya USA unaelezwa faida kwa herufi 'font size 10' wajibu au hasara huwezi kusoma hata kwa miwani. Tena ni ma Bank kama haya kwenye morgages na credits. Obama ameshtuka.

Tuliwahi kuambiwa maneno matamu matamu na hatima yake tunalipa hadi leo kwa mikataba na arrangement za siri sisi tukielezwa faida tu.
Kama TRA wameshindwa kukusanya mapato serikali ipo katika matatizo makubwa. Hata kulipia 'transaction charges' bado si wajibu wa mteja ni kazi ya TRA kukusanya kodi kulingana na kadirio bila kuongeza au kupunguza. Kusema eti mtu itabidi alipe transaction charge kama hataki apange foleni ni utanzania wetu wa kununua hata haki zetu.

Kama Bank M imefanikiwa kuwa na teknoloji ya dakika 5, nini kimewashinda TRA kuwa nayo tukijua kazi yao ni kukusanya mapato? au ndio utaratibu wa 'Watoto wa bata kutangulia mama yao kuwafuata nyuma'
Tusije tukajikuta tunaletewa bili ya bilioni 100 kisheria kama Dowans halafu tuka ng'aka.

Sina tatizo na mpango wote, kinachonitatiza ni pale ninapoaminishwa kuwa Bank M ni wakarimu sana wa kutumia resource zao kulihudumia taifa, na hofu zaidi ninaambiwa dakika 5 bila kujua kilichopo nyuma ya pazia. Aliyeelewa maelezo ya thread anisaidie labda kuna mahali sikuelewa.
Jamani ee tumeshaumwa na nyoka sana sasa tunaogopa hata 'kipande cha spaghetti'
 
Sheria ya kodi ya mapato iko dhahiri......mabenki yote ni wakala wa TRA kaktika kukusanya kodi....hii ni special bank product na ndio maana imezinduliwa...hapa TRA inatumika na Bank M.....kama kweli inachukua dakika 5 hebu imagine toka tarehe 1 mpaka tarehe 30 watakapo remit kwa TRA Bank M itakuwa imekalia pesa ngapi za umma interest free?

Mkuu Camaraderie kwani ukilipia kwenye ofisi ya TRA hiyo pesa wataipeleka wapi mwisho wa siku.
Sio kweli kwamba pesa yote hupelekwa kwenye mabenki???
 
Kwani wewe Mwanakijiji unachotaka kifanyike ni nini?
TRA wakusanye hizo pesa wao wenye? so what? wakusanye then wazipeleke bank?
why shouldn't they let us take the funds to the bankers straight away?
ndio kinachofanyika, we unataka majibu gani?
Mkuu hebu nipe shule kuhusu dakika tano,yaani hela zitakuwa kwenye account dakika tano?...kwani kawaida inachukua dakika ngapi?
 
Ukiona Wahindi ndio wamemuunga Mkono!Huyu anatakiwa awa KEKO kama tunafata Sheria.Kuna Benk amabazo serikali zinashare,kama NMB,
NBC etc amabzo zingetakiwa zifanye hii shughuli.

Huyu Mkono alipata dubious pyt from BoT,i guess ni paymaster wa Cha,a cha Magamba.
Siku zao zitafika !
 
PHP:
Bank M Tanzania Limited has been appointed by Tanzania Revenue Authority (TRA) to collect taxes on its behalf. Through a service branded Money. Mapato, the bank has promised to remit the tax to TRA and issue payment receipts to the customers in five minutes.

The product would enable taxpayers to pay all domestic taxes and customs and excise revenues without any delays and without having to wait in long queues at banks. Bank M Board Chairman Mr Nimrod Mkono said the product was designed specifically for processing of TRA tax payments within five minutes and to remove worries of penalties from the minds of taxpayers.

"We bring to you Money. mapato, with the assurance that payment of taxes will be quicker than a coffee break, backed by our guarantee to process your transaction within 5 minutes," said Mr Mkono.

Hawa Jamaa na M!!! Kina kitu kwao ni M meaning Money???
 
Back
Top Bottom