Akili zako na akili za mwendazake hazina tofauti 🤣 🤣 🤣 .We fala unajipigia Chapuo kama ulikua unashindwa kuelewa vitu alivyokua anafundisha mwalimu Darasani ndo utakua mzuri kazini??? Wewe ni Kilaza tuu endelea kukaaa kwenye Makochi yenu.
Akili zako na akili za mwendazake hazina tofauti 🤣 🤣 🤣 .We fala unajipigia Chapuo kama ulikua unashindwa kuelewa vitu alivyokua anafundisha mwalimu Darasani ndo utakua mzuri kazini??? Wewe ni Kilaza tuu endelea kukaaa kwenye Makochi yenu.
Hhahahaaaa . . eti endelea kukaa kwenye makochi yenu. Yaani JF hii raha sanaWe fala unajipigia Chapuo kama ulikua unashindwa kuelewa vitu alivyokua anafundisha mwalimu Darasani ndo utakua mzuri kazini??? Wewe ni Kilaza tuu endelea kukaaa kwenye Makochi yenu.
Wametumia nafasi hyo kupunguza watu, ili wenye vigezo wachache waombe. Bila hivyo yatakua kama ya usaili wa Uhamiaji vijana tulijazwa uwanja wa Taifa.Daa GPA plus CPa zinahusika
Siku nyingine ukiona adress kama hiyo usije ukaropoka kama ulivyoropoka hapa...ukiona adress kama hiyo maana yake inatakiwa upeleke kwa MKONO na sio posta.Taasisi kubwa kama BOT lazima mtu atume maombi kupitia Posta? Kwenye Dunia ya leo ya Teknolojia.
Ushamba
Utoke Kigoma upeleke barua BOT kwa mkono?Siku nyingine ukiona adress kama hiyo usije ukaropoka kama ulivyoropoka hapa...ukiona adress kama hiyo maana yake inatakiwa upeleke kwa MKONO na sio posta.
Sasa kaka unabisha nini...fatilia basi aina za anuani ujue zipi za kupeleka kwa mkono au kwa posta maana unabisha bila kuwa na uelewa wa adress types...ndio maana mnakosa kazi hivyohivyo...unapeleka posta barua inafika muda wa recruit umepita...by the way walikuw wanaruhusu watu kupelekeana , u just submit the envelope and register the name ...Utoke Kigoma upeleke barua BOT kwa mkono?
Well saidHii ni formality tu
Kiuhalisia hizo nafasi asilimia kubwa zimeshachukuliwa.
Si kweliWell said
alikuwa hajuiSiku nyingine ukiona adress kama hiyo usije ukaropoka kama ulivyoropoka hapa...ukiona adress kama hiyo maana yake inatakiwa upeleke kwa MKONO na sio posta.
WameanzaVipi hawajaita tu mpaka sasa?
Lini mkuuWameanza
Ukitumia EMS au City Urgent Mail inafika haraka tu; hakuna sehemu waliyosema upeleke kwa mkono.Sasa kaka unabisha nini...fatilia basi aina za anuani ujue zipi za kupeleka kwa mkono au kwa posta maana unabisha bila kuwa na uelewa wa adress types...ndio maana mnakosa kazi hivyohivyo...unapeleka posta barua inafika muda wa recruit umepita...by the way walikuw wanaruhusu watu kupelekeana , u just submit the envelope and register the name ...