Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
wakuu, naomba kufahamu hapo bongo, ni bank gani naweza kumake transaction kwa internet. bank kama stanbic, baclays na standard chartered ziko hivyo au vipi wakuu, tafadhali msaada hapa...
CRDB wanahiyo huduma lakini, unatakiwa uwe umejisajili,
pia naomba ushauri kwa wale wenye banker kama stanbic na zingine ambazo zina connection na service zingine kama mastercard, maestro,cirus,interact etc kama zinafanya kazi sawa na bank za nchi zilizoendelea au africa ndo africa tu siku zote...crdb najua wanayo huduma ya kimataifa ya sijui viza.....
Standard Chartered Bank wana e-bank nzuri zaidi. Wenyewe wanakupa uwezo wa kufanya transaction within the bank and any other bank within Tanzania na overseas. Unapewa kakifaa wanakaita Token kanatumika kukupa PIN ya kufanyia transaction kila unapohitaji kutumia.
Mkuu nenda kwenye tawi ulilofungulia account au unaweza waandikia kupitia hii mail crdbonline@crdbbank.com,,,,watakutumia form na maelezo mengine utatakiwa kuzijaza na kuwarudishia then watakusajili,, ni rahisi saana,
Kuhusu hizo bank nyingine kama card ni visa unaweza itumia mahali popote duniani, crdb, exim, na bacleys nimeshatumia card zao shehemu mbali mabli bila usumbufu,,ila kama unasafiri mkuu usitegemee card kwa asilimia mia kwani unaweza umbuka yalishanikuta ikabidi nikatishe safari