Bank gani Tanzania inatoa Online Services nzuri?

Consultant

JF-Expert Member
Jun 15, 2008
11,401
20,661
Wakuu, msaada tafadhari!

Ninatafuta Bank inayotoa huduma zifuatazo:

1. Online services - kuangalia salio, kuweza kufanya transfer ya pesa kwa mtu mwenye akaunti etc

2. VISA/Master Cards

3. Huduma ya kufanya shopping online (amazon et la)

4. Uwezo wa kumtumia pesa (online) mtu mwenye account na bank nyingine

Mwenye uzoefu naomba anisaidie
 
hakuna sababu ya wizi mkuu,walikuwa CRDB wakaona wanapata hasara wakasitisha labda uende kuna form maaalum ujaze hiyo inasema ukiibiwa ni juu yako.ndo bongo ya thithiem u
 
hakuna sababu ya wizi mkuu,walikuwa CRDB wakaona wanapata hasara wakasitisha labda uende kuna form maaalum ujaze...

Ninachojua kwa CRDB, online service yao ni kuangalia salio, kuangalia mlolongo mzima wa fedha yako ilivyotoka na kuingia na vile vile kufanya online transfer kwa mtu mwenye account na CRDB tu.

Ukijaza hiyo form unayosema, unaweza kupata zile huduma zooote as specified kwenye post?
 
Nafikiri CRDB wana huduma bora zaidi. Kwanza unaweza kupewa huduma ya online ya ku-access account yako popote ulipo, baada ya kujaza fomu fulani. Ukiwa Online, unaweza kufanya malipo mbalimbali, pamoja na ku-transfer fedha kwa mtu mwingine mwenye akaunti ya CRDB. Vile vile, unaweza ku-print bank statement yako kwa kipindi chochote unachotaka. Hivyo si kuangalia salio tu. Nilijaribu kuomba huduma hii Standard Chartered, wakasema wanatoa kwa Corporate customers only.

Huduma zingine ni kuwa unaweza kutumia card yao (VISA) kufanya online shopping eg from Amazon, kununua software online, kufanya bookings za hotel unaposafiri nje ya nchi, kununua tiketi za ndege (cheaper kuliko kutumia travel agencies), kutumia kwenye shopping malls ukiwa nje ya nchi, n.k. Unaweza vile vile "kuiunganisha" kadi yao na PayPal na hivyo kutumia Paypal kwa malipo.

Natumaini nimekusaidia kwa jibu hili
 
Usijaribu NBC. Unaweza kumaliza mwaka tangu kuijaza fomu kabla hujaweza kuitumia huduma hiyo.
 
Huduma zingine ni kuwa unaweza kutumia card yao (VISA) kufanya online shopping eg from Amazon, kununua software online, kufanya bookings za hotel unaposafiri nje ya nchi, kununua tiketi za ndege (cheaper kuliko kutumia travel agencies), kutumia kwenye shopping malls ukiwa nje ya nchi, n.k


Hapa naona poa. Ubarikiwe
 
CRDB inaconnect na paypal? Mbona niliona Mkenya fulani akijisifu kuwa paypal imeingia Kenya na kuwa ipo Ke na South Africa peke yake?
Kuna mtu ameshaunganisha Tembo card yake ba Paypal?
Naomba kujuzwa
 
Hili swali lako kaulize nchi nyingine, hapa bongo ni wizi mtupu
Wakuu, msaada tafadhari!

Ninatafuta Bank inayotoa huduma zifuatazo:

1. Online services - kuangalia salio, kuweza kufanya transfer ya pesa kwa mtu mwenye akaunti etc

2. VISA/Master Cards

3. Huduma ya kufanya shopping online (amazon et la)

4. Uwezo wa kumtumia pesa (online) mtu mwenye account na bank nyingine

Mwenye uzoefu naomba anisaidie
 
wengine wanasema standard chattered, mimi sijui. crdb ni wezi tu. wameweka vile vibandiko vyao kuwa kwenye AtM zao wanatoa hela kwa mastercard, nimejaribu karibia mara tati haitoi, inatoa kwa wale wa bank za hapa nchini tu. however nilishawai kutoa hela mara mbili, lakini siku hizi naona sijui wanaona wanapata hasara gani...wale wenye account baclays naomba kujua kama nayo iko hivyo.
 
Nimeshawahi ku-connect card yangu na PayPal.
Huwezi kutumia ATM card ya Standard Chartered nje ya nchi. Nimejaribu si zaidi ya wiki moja iliyopita na haikufanya kazi. Bado huduma za CRDB kwa eneo hili ni nzuri kulinganisha na benki nyingine.
 
Mimi niko ughaibuni, natumia CRDB. NBC hata usijaribu kabisaaaa maana hawajui kitu kinaitwa customer care.

CRDB popote unaweza kutumia hakuna shaka mkuu.
Nimekuwa nikiganya manunuzi kupitia mtandao kwa kutumia VISA card ya CRDB bila matatizo,

Onyo! password ni siri yako kama unajua wezi wa mtandao you must be carefull with the website you use. Safe website inaanza na https................., kama ni fake huwa hazina 's'.

Last yeah nilikuwa nchi moja huku maeneo ya Asia nikaishiwa nikawa natumia CRDB Visa card bila shida.

last week tena nilikuwa mitaa ya huku Asia, nikatumia CRDB mkuu. Nenda kajaze form tawi ulilofungulia bank account yako, after 4 days wanaactivate uanze kula isha popote.

Karibu sana.
 
Mimi niko ughaibuni, natumia CRDB. NBC hata usijaribu kabisaaaa maana hawajui kitu kinaitwa customer care.

CRDB popote unaweza kutumia hakuna shaka mkuu.
Nimekuwa nikiganya manunuzi kupitia mtandao kwa kutumia VISA card ya CRDB bila matatizo,

Onyo! password ni siri yako kama unajua wezi wa mtandao you must be carefull with the website you use. Safe website inaanza na https................., kama ni fake huwa hazina 's'.

Last yeah nilikuwa nchi moja huku maeneo ya Asia nikaishiwa nikawa natumia CRDB Visa card bila shida.

last week tena nilikuwa mitaa ya huku Asia, nikatumia CRDB mkuu. Nenda kajaze form tawi ulilofungulia bank account yako, after 4 days wanaactivate uanze kula isha popote.

Karibu sana.

thanks kwa kutujuza. Unafanya kazi crdb nini.
 
Biashara ya Benki naona kijiwe kimewachanganyia. wateja mpaka waanaingaka, hii ni neema kwa biashara za benk. Mtazamo wangu umetokana na hizi posti zote zilizonitangulia. Baada ya kusoma, nimepata mtazomo hii. Tafadhali nirekebishe kama niko mbali sana mtazamo wako.

1. Banki zote Tanzania, simeridhika sio tu, na utendaji kazi wao, bali wenye kumiliki hizi biashara pia inawezekana, hawako informed.
2. Bado kuna wego(uga) mkubwa wa biashara za benki. Ndio maana wananchi wanapokonywa na baadhi microfinance wizi. Unamkopeshaje mtu pesa bila kumfundisha namna ya kua mwangalifu kunako deni, na kumwambia gharama zote dhahiri?.

On this JF, People know this. We are now a capitalist country but we are not using the tools that out farthers na mothers have given us. , Mzee Musa na Mzee Ruhsa and other Wazee, were involved in a Game Changers on that regard (really smart) we moved from socialist economy to capitalist economy model , The people who made change most of them are alive today. Yani wala sio aibu kua mkapitali. Based on this new system, it is quite probable we will surpass Kenya GDP in the near future. We are about to see a barrage of wealthy in Tanzania due to New Innovations, that are about to hit the markets. Even the MGDs on Poverty will will get closer to achieve its #2 goal. Remember, now we can do as many things in business compare same as Kenya used to do in the past. We (Tanzania) are good in a few things. For, instance, we are excellent in creating and retaining relationships. This is what were told and see our parents in action. And constantly "Utu wa mtu, si kitu. Sasa wazee walipochange sysytem, based on the circumstances around the country, there were no strategic plans to teach our communities to operate the in the new system of free enterprises (it's another way of saying capitalism). But, I think that our part JF. and other volunteers. The Govenment has a Sector of miundo mbinu/ujasimali to improve our livelihood in the Free Enterprises, but i do not know the number of wajarisimalis. But, I think there is room for improvement in which entrepreneurship may lead the economy and join hands with our big banks with a lousy services, help them get more customers, while getting good customer care. see a room for business to help the society. Guess what, in this age technological and globalization, building and maintaining relationships, is a money making machine. The most important is not to be too greedy. My friends in JF Building and retaining relationship is a weapon of choice when it comes to fight chronic poverty. We were raised to be nice people. Forget all these jargons, in the textbooks and business world. take this, Customer care, Customer Service, Customer Relation, and the big one, "Public Relations" . and the list goes on. And you know what, They all means same thing, Just listen attentively, to people they will tell you what they. want. Cheka nao uwajue tabia zao. Then, after you get to know them, you will know want they want before they even say it. This is the credo of customer care. Teach that if you can, you could make tons of Shilings, wateja zako, all Banks in tanzania including Not for Profit Banks.
 
Wakuu, naomba kufahamishwa ni bank gani Tanzania inayotoa mastercards zilizopewa uwezo wa kufanya manunuzi online kwa mfamo amazon, e-bay na kwingine, bila longolongo?

Nilijaribu kuomba huduma hiyo CRDB kitambo sana na sikupata majibu
 
Ni CRDB mkuu.......nenda kawaone.......kuna fomu utajaza then card yako inawezeshwa........
 
Ni CRDB mkuu.......nenda kawaone.......kuna fomu utajaza then card yako inawezeshwa........

Preta, nilijaza kitambo sana. Nilichopata ni ''internet banking'' service tu; ambapo naweza kufanya online transfer kwenda account ya CRDB. Hiyo service ya kufanya online purchase sikupata.
 
Preta, nilijaza kitambo sana. Nilichopata ni ''internet banking'' service tu; ambapo naweza kufanya online transfer kwenda account ya CRDB. Hiyo service ya kufanya online purchase sikupata.


Nenda kawaone tena mbona mi nafanya kupitia hao hao CRDB??
 
Preta, nilijaza kitambo sana. Nilichopata ni ''internet banking'' service tu; ambapo naweza kufanya online transfer kwenda account ya CRDB. Hiyo service ya kufanya online purchase sikupata.

Inawezekana kwa sababu mimi pia nafanya online purchasing na card yao hao hao na sijapata tatizo lolote.........
 
BancABC wala huhitaji kuwa na account unajaza tu form kwa ajili ya visa card unapata card the same day unatakiwa tu kuwa na kitambulisho na elfu 5000
 
Back
Top Bottom