Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
WanaJF, na hasa wenye kitengo hiki cha biashara naomba ushauri wenu kuwa nifungue account kwenye bank ipi maana kampuni yetu ni changa na katika kukua tutahitaji mikopo toka bank husika. Mnatushauri tufungue account na bank ipi? Nitasukuru kwa ushauri wenu