Bank charges ndio mapato ya Bank ambayo mwishowe hutozwa kodi. Unatozaje VAT!?

TheDealer

JF-Expert Member
Nov 19, 2012
2,424
1,129
Pale benki inapochaji bank charges yaani makato kwa muamala wowote ujue ndio mapato ya benki. Pale ipochaji interest kwenye mkopo ujue ndio mapato ya benki. Makato ya namna yoyote yale kwa ujumla yafanywayo na benki ndio 'REVENUE' yake.

Mwisho wa mwaka wa mahesabu lazima mapato yote hayo yachajiwe kodi tunaita 'income tax' ama corporate tax..

Sasa serikali kama itaamua kuchaji VAT kwenye makato yoyote ya miamala ya kibenki ama taasisi ya kifedha maana yake ni kuwa hio VAT anawekewa anayekatwa. Mwisho wa mwezi benki hupeleka VAT hio TRA kwa kufanya hesabu za ulinganisho wa output na input VAT. Kila mwisho wa mwezi lazima hesabu hizo zifanyike na TRA kupata chao. Mara nyingi unaweza kukuta TRA hawapati kitu yaani wanadaiwa baada ya kufanyika mahesabu hayo ya VAT.

Sasa, serikali inapoamua kuchaji VAT kwa kila muamala wa mteja wa benki kwa namna alivyosema CG-Commissioner General maana yake ni kuwa hio sio VAT bali ni income tax yenye rate ya 18% badala ya 30% inayotakiwa kuchajiwa kwenye corporate businesses! Kwa hio hapo anachoongelea CG sio VAT bali ni income tax.!

Kwa mujibu wa kanuni za kodi za nchi yetu income tax huchajiwa mwishoni mwa mwaka wa mahesabu na VAT huchajiwa kila mwezi. Maana yake ni kwamba serikali iseme jina la kodi hio itakayokatwa kwenye muamala wa mteja lakini wasisema VAT maana sio VAT. Ama kama wamekubaliana na benki; benki wakatwe kwenye miamala wanayoyafanya basi mwishoni mwa mwaka itabidi benki ilipe corporate tax ya 12% maana 18% iliShachukuliwa kwa kila mwezi. Of which kitu kama hiki hakipo kwenye kanuni za ki kodi!

Nilichoelewa ni kwamba. Kwanza, Serikali wanataka kugawana na benki makato wanayokatwa wateja. Tatizo kubwa ni kuwa walidhani jina VAT ndio itatimiliza malengo hayo vizuri, bila kujua namna VAT inavyotakikana kuchajiwa. Pili, naona hawajaangaliana kwa kina kuhusu namna benki inavyopata mapato yake ambayo mwisho wa siku hulipia kodi. Tatu, hakuna namna yeyote ile serikali ikataka kuchaji kodi kwenye hizi miamala za kibenki halafu wananchi wasibebeshwe mzigo. HAKUNA. Nne, Naona Serikali haijabaini kuwa VAT kwenye maisha ya wananchi wa kawaida ndio inaongeza gharama za maisha. Naweza kusema kwa 'jicho la tatu' VAT inasaidia kwa kiwango kikubwa sana kudhoofisha sarafu ya Tanzania kutokana na kutundikwa kwenye bidhaa nyingi zenye watumiaji wa kawaida!

Ndio hivyo!
 
Hili jambo limefanywa kwa makusudi tu na sidhani kama kweli walikuwa hawajui nini kingefuata baadae na kutokuwepo wapinzani Bungeni ndio kulitoa mwanya wa kupitisha hii kodi na huenda ndio sababu ya kina Zitto kuzuiliwa kujadili hii bajeti pale Millenium Towers.
 
Pale benki inapochaji bank charges yaani makato kwa muamala wowote ujue ndio mapato ya benki. Pale ipochaji interest kwenye mkopo ujue ndio mapato ya benki. Makato ya namna yoyote yale kwa ujumla yafanywayo na benki ndio 'REVENUE' yake.

Mwisho wa mwaka wa mahesabu lazima mapato yote hayo yachajiwe kodi tunaita 'income tax' ama corporate tax..

Sasa serikali kama itaamua kuchaji VAT kwenye makato yoyote ya miamala ya kibenki ama taasisi ya kifedha maana yake ni kuwa hio VAT anawekewa anayekatwa. Mwisho wa mwezi benki hupeleka VAT hio TRA kwa kufanya hesabu za ulinganisho wa output na input VAT. Kila mwisho wa mwezi lazima hesabu hizo zifanyike na TRA kupata chao. Mara nyingi unaweza kukuta TRA hawapati kitu yaani wanadaiwa baada ya kufanyika mahesabu hayo ya VAT.

Sasa, serikali inapoamua kuchaji VAT kwa kila muamala wa mteja wa benki kwa namna alivyosema CG-Commissioner General maana yake ni kuwa hio sio VAT bali ni income tax yenye rate ya 18% badala ya 30% inayotakiwa kuchajiwa kwenye corporate businesses! Kwa hio hapo anachoongelea CG sio VAT bali ni income tax.!

Kwa mujibu wa kanuni za kodi za nchi yetu income tax huchajiwa mwishoni mwa mwaka wa mahesabu na VAT huchajiwa kila mwezi. Maana yake ni kwamba serikali iseme jina la kodi hio itakayokatwa kwenye muamala wa mteja lakini wasisema VAT maana sio VAT. Ama kama wamekubaliana na benki; benki wakatwe kwenye miamala wanayoyafanya basi mwishoni mwa mwaka itabidi benki ilipe corporate tax ya 12% maana 18% iliShachukuliwa kwa kila mwezi. Of which kitu kama hiki hakipo kwenye kanuni za ki kodi!

Nilichoelewa ni kwamba. Kwanza, Serikali wanataka kugawana na benki makato wanayokatwa wateja. Tatizo kubwa ni kuwa walidhani jina VAT ndio itatimiliza malengo hayo vizuri, bila kujua namna VAT inavyotakikana kuchajiwa. Pili, naona hawajaangaliana kwa kina kuhusu namna benki inavyopata mapato yake ambayo mwisho wa siku hulipia kodi. Tatu, hakuna namna yeyote ile serikali ikataka kuchaji kodi kwenye hizi miamala za kibenki halafu wananchi wasibebeshwe mzigo. HAKUNA. Nne, Naona Serikali haijabaini kuwa VAT kwenye maisha ya wananchi wa kawaida ndio inaongeza gharama za maisha. Naweza kusema kwa 'jicho la tatu' VAT inasaidia kwa kiwango kikubwa sana kudhoofisha sarafu ya Tanzania kutokana na kutundikwa kwenye bidhaa nyingi zenye watumiaji wa kawaida!

Ndio hivyo!
thank you sana sana....kuna kipindi najiulizaga hivi elimu zetu tunazitumiaga ama kila mtu anakuwa na mawazo yake bila kuingiza elimu..
 
OK. Naomba pia kujua kuhusu Islamic Banking ambao hawana makato au charges zozote kwa mteja. Huwa wanaendeshaje biashara zao? Wanalipa kodi Serikalini? Kama hawa wanaweza kwanini mabenki mengine yashindwe japo kuiga utaratibu huu wenye gharama nafuu za uendeshaji?
 
Uko sawa 100%. Haitawezekana kuweka VAT kwenye 'bank charges' bila kuiangushia 18% kwa wateja wa bank. Kazi ya bank ni kutoa huduma ya kuhifadhi fedha, kutoa mikopo na kufanya malipo(miamala) mbalimbali kwa niaba ya wateja. Mapato yake ni riba,tozo za akaunti na tozo za huduma za miamala. Ni kwa vipi Serikali italazimisha kugawana mapato (revenue) ya benki bila kupitia kodi mwisho wa mwaka wa kodi?
 
Pale benki inapochaji bank charges yaani makato kwa muamala wowote ujue ndio mapato ya benki. Pale ipochaji interest kwenye mkopo ujue ndio mapato ya benki. Makato ya namna yoyote yale kwa ujumla yafanywayo na benki ndio 'REVENUE' yake.

Mwisho wa mwaka wa mahesabu lazima mapato yote hayo yachajiwe kodi tunaita 'income tax' ama corporate tax..

Sasa serikali kama itaamua kuchaji VAT kwenye makato yoyote ya miamala ya kibenki ama taasisi ya kifedha maana yake ni kuwa hio VAT anawekewa anayekatwa. Mwisho wa mwezi benki hupeleka VAT hio TRA kwa kufanya hesabu za ulinganisho wa output na input VAT. Kila mwisho wa mwezi lazima hesabu hizo zifanyike na TRA kupata chao. Mara nyingi unaweza kukuta TRA hawapati kitu yaani wanadaiwa baada ya kufanyika mahesabu hayo ya VAT.

Sasa, serikali inapoamua kuchaji VAT kwa kila muamala wa mteja wa benki kwa namna alivyosema CG-Commissioner General maana yake ni kuwa hio sio VAT bali ni income tax yenye rate ya 18% badala ya 30% inayotakiwa kuchajiwa kwenye corporate businesses! Kwa hio hapo anachoongelea CG sio VAT bali ni income tax.!

Kwa mujibu wa kanuni za kodi za nchi yetu income tax huchajiwa mwishoni mwa mwaka wa mahesabu na VAT huchajiwa kila mwezi. Maana yake ni kwamba serikali iseme jina la kodi hio itakayokatwa kwenye muamala wa mteja lakini wasisema VAT maana sio VAT. Ama kama wamekubaliana na benki; benki wakatwe kwenye miamala wanayoyafanya basi mwishoni mwa mwaka itabidi benki ilipe corporate tax ya 12% maana 18% iliShachukuliwa kwa kila mwezi. Of which kitu kama hiki hakipo kwenye kanuni za ki kodi!

Nilichoelewa ni kwamba. Kwanza, Serikali wanataka kugawana na benki makato wanayokatwa wateja. Tatizo kubwa ni kuwa walidhani jina VAT ndio itatimiliza malengo hayo vizuri, bila kujua namna VAT inavyotakikana kuchajiwa. Pili, naona hawajaangaliana kwa kina kuhusu namna benki inavyopata mapato yake ambayo mwisho wa siku hulipia kodi. Tatu, hakuna namna yeyote ile serikali ikataka kuchaji kodi kwenye hizi miamala za kibenki halafu wananchi wasibebeshwe mzigo. HAKUNA. Nne, Naona Serikali haijabaini kuwa VAT kwenye maisha ya wananchi wa kawaida ndio inaongeza gharama za maisha. Naweza kusema kwa 'jicho la tatu' VAT inasaidia kwa kiwango kikubwa sana kudhoofisha sarafu ya Tanzania kutokana na kutundikwa kwenye bidhaa nyingi zenye watumiaji wa kawaida!

Ndio hivyo!
 
Back
Top Bottom