Bank 10 za kibiashara zimepata vibali vya kuanza kazi Tanzania

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
Kuna habari za kuaminika kutoka ndani ya BOT kuwa kuna wimbi kubwa la Bank za kimataifa za kibiashara zitakazomiminika mtaani muda si mrefu kutoa huduma za kifedha kwa jamii ya wa TZ. Mpaka sasa Bank zilizopatiwa Baraka na BOT ni pamoja na The first Nationa Bank of South Afrika.

Swali langu ni moja tu, Hivi hizi bank zinakuja kwa maslahi ya nani? Je mtz atafaidika vipi na wimbi hili la mabenk ya kibishara? kama sikosei yatafika 60 muda sio mrefu. Hivi kweli serikali haiwezi kuyakalia kooni haya mabenki na kufanya kitu cha maana kwenye interest reduction na mikopo nafuu hasa kwa vijana na walalahoi wanaotaka kujiajiri?
 
Mkubwa mi nafikiri hizi ni habari njema kwa watz.......! mabenki yaliyopo yamehoodhi soko, yanakiburi cha soko hapa bongo, yanaringa sana, hayavalue customers invyotakikana, kutoa mikopo ni kama upendeleo fulani........! yanatubangua kwa riba za ajabu ajabu kwa sababu tuna option chache sana kwa kukimbilia......!

Yes, we need more banks kuongeza ushindani ili kuleta unafuu wa gharama za mitaji kwa wajasiliamali wa kibongo.......!
 
Mkubwa mi nafikiri hizi ni habari njema kwa watz.......! mabenki yaliyopo yamehoodhi soko, yanakiburi cha soko hapa bongo, yanaringa sana, hayavalue customers invyotakikana, kutoa mikopo ni kama upendeleo fulani........! yanatubangua kwa riba za ajabu ajabu kwa sababu tuna option chache sana kwa kukimbilia......!

Yes, we need more banks kuongeza ushindani ili kuleta unafuu wa gharama za mitaji kwa wajasiliamali wa kibongo.......!

Kweli kabisa mkuu ila je wakija hawatakomaalia interest zao za 20+ kwenye mikopo mikubwa na 16+ kwenye mikopo midogo kitu ambacho ni mzigo kwa mwananchi wa kawaida?
 
I don't expect hiyo mzee......! DD & SS Law itaprevail......! demand normally creates its own supply but the vice versa is not true, hawa jamaa wanakuja only kwa sababu wameona kunapotential yakufanya business hapa, so wakitia timu...hizi bank zetu zilizopo zitajaribu kufanya market differentiation kitu ambacho kitawapa unafuu the business community!
 
I don't expect hiyo mzee......! DD & SS Law itaprevail......! demand normally creates its own supply but the vice versa is not true, hawa jamaa wanakuja only kwa sababu wameona kunapotential yakufanya business hapa, so wakitia timu...hizi bank zetu zilizopo zitajaribu kufanya market differentiation kitu ambacho kitawapa unafuu the business community!

Kweli kabisa na macharges kwenye kudraw na mara monthly charges yatapungua. Mtu unaenda kiwithdraw hela yako mwenyewe ambayo umewakopesha benk bado wanakulima charge ya buku au 600.
 
Lengo la bepari ni kupata faida kubwa kwa gharama ndogo. Watanyonywa kuanzia wafanyakazi hadi wateja.
Msitarajie nafuu ya riba wala huduma bora kwa mteja.

Kabla hawajaja kuwekeza, walisha wasoma Watanzania na kugundua madhaifu na mapungufu yao. Hamna jipya
 
Hayo ma bank hata yafikie mia moja bado hayatamsaidia mteja mdogo ambaye amezoea kujiwekea akiba yake kutokana na mshahara wake.

Kuhusu mikopo msahau hilo kwani riba kubwa itakukimbiza mwenyewe.

Foleni za kuweka na kutoa pesa iwe kwa macashiers au cash machines hilo halitoondoka kwa sababu watendaji wa mabenki hawawajali saana wateja wenye akiba ndogo, kwao wao wateja wakubwa na wenye viwanda au biashara kubwa ndio wanaowathamini zaidi.

Kwenye chama chao wa mabenki TBA hawawashirikishi wateja wao kwenye mikutano yao ili kuelewa matatizo yao kwa hiyo wenye mabenki bado wataendelea kuwana vichwa vikubwa katika Tanzania hii. Na wateja tutaendelea kulia.
 
Kuna jamaa aliye gusia kwamba wameisha tuona mitanzania ni, sasa ukishindwa tu kulipa mkopo ardhi wamechukua, na bandu bandu humaliza gogo, au haba na haba hujaza kibaba.
 
This is good for competetition because each bank tries to attract customers by the way of fair interest rate on loans and the like... ''acha magugu na mazao vyote vikue pamoja mwisho wa siku magugu yatavunwa na kuchomwa moto na yale mazao mema yatatunzwa''

HII NDIYOI FREE MARKET ECONOMY, baadae tusilalamike wenzetu nchi za EAC wakija kuboresha namna ya kufanya umachinga badala ya tunavyofanya sasa. What is important let us cope with it and work parralel with it.
 
Utangoja milele na utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa KIBWETERE
this is good for competetition because each bank tries to attract customers by the way of fair interest rate on loans and the like.........''.acha magugu na mazao vyote vikue pamoja mwisho wa siku magugu yatavunwa na kuchomwa moto na yale mazao mema yatatunzwa''
HII NDIYOI FREE MARKET ECONOMY...baadae tusilalamike wenzetu nchi za EAC wakija kuboresha namna ya kufanya umachinga badala ya tunavyofanya sasa.....what is important let us cope with it and work parralel with it........
 
Back
Top Bottom