Iko kazi kweli kweli!heheh e he eti siwezi kulisoma huku kalisoma kimoyomoyo
Iko kazi kweli kweli!heheh e he eti siwezi kulisoma huku kalisoma kimoyomoyo
Wewe ni mkuda na akili yako ina uvimbeAkihutubia umati mkubwa watu, Katika uzinduzi Wa Barabara ya Kidahwe - Kasulu, Rais John Pombe Magufuli ameonekana live katika vyombo vya habari akimtupia maneno Mwananchi ambaye alibeba bango na mbele ya Magufuli. Rais alisikika akisema "
"Wananchi Wengine Mnajitafutia Matatizo
Hilo Bango Lako Hata Ulionyeshe Silisomi
Haya Nimesoma Mabango Yote Ujumbe Nimeupata
Ninyi Askari Mwacheni Huyo"
Haikufahamika haraka kuwa Bango hilo lilikuwa na ujumbe gani ingawa inatafasiriwa kuwa ujumbe huo utakuwa ni dongo kwa Mheshimiwa.
kuna waanfishi Wa habari walionekana wakichukua picha katika purukushani hizo. tunaomba picha ya ujumbe huo itupiwe humu ili tuuone ujumbe huo ambao haukumpendeza Rais wetu
Uzuri wa huko watu wanaweza kusimamia wanachokiamini.Mengine fanyeni huko kwa wanume wa 33% si huku kigoma, hatuwezi mnyamanzia mtu
Hicho kilikuwa kipimo cha uchizi,ukisema hulisomi manaake nini,si umelisoma na umegundua halikufurahishi?!Niliskia anasema hilo bango lako silisomi
Basi wamakonde hamna akiliMat.k. yako, nani kakuambia Mimi mchaga? Mmakonde na mchaga wapi na wapi?
Neno 'kanjanja' limekuja kitambo kielelezo kwamba kuna mtu alishaliona hili la wanahabari vilaza.Wanahabari wetu ni waajabu sana, habari kama hiyo walipaswa waendelee kuchunguza,wamjue kijana na wamfuatilie kama bado yupo au hayupo!
Ule mkutano ulijaa wanafunzi kama graduation no wonder kamera za TBC zilimulika meza kuu tuAkihutubia umati mkubwa watu, Katika uzinduzi Wa Barabara ya Kidahwe - Kasulu, Rais John Pombe Magufuli ameonekana live katika vyombo vya habari akimtupia maneno Mwananchi ambaye alibeba bango na mbele ya Magufuli. Rais alisikika akisema "
"Wananchi Wengine Mnajitafutia Matatizo
Hilo Bango Lako Hata Ulionyeshe Silisomi
Haya Nimesoma Mabango Yote Ujumbe Nimeupata
Ninyi Askari Mwacheni Huyo"
Haikufahamika haraka kuwa Bango hilo lilikuwa na ujumbe gani ingawa inatafasiriwa kuwa ujumbe huo utakuwa ni dongo kwa Mheshimiwa.
kuna waanfishi Wa habari walionekana wakichukua picha katika purukushani hizo. tunaomba picha ya ujumbe huo itupiwe humu ili tuuone ujumbe huo ambao haukumpendeza Rais wetu
Niliskia anasema hilo bango lako silisomi
Ngoja nimtaarifu chief wetu mzee BM kauli yako hiiBasi wamakonde hamna akili
Delta Force
Kweli haya Mimi nimeonaUle mkutano ulijaa wanafunzi kama graduation no wonder kamera za TBC zilimulika meza kuu tu