Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Bango hili lipo katika Barabara ya Garden karibu kabisa na nyumba za TPDC Mikocheni. Kwangu mimi nimeona hii ni too much!!! Je inawezekana walengwa ndio wanatakiwa wajue lugha hii??? Nini kinafichwa???
Mswahili akienda hapo hatatimuliwa kweli???
Kariakoo kuna Hotel kubwa tuu nayo pia imeandikwa lugha hii ya Kimandarin??? sema hiyo angalau... imeandikwa Sichuan Hotel...
Kesho kutwa Wachina (Sijajua kama wataruhusu jamii nyingine kushiriki??? wanafanya maandamano ya amani kupinga Mauaji ya mwenzao hapa Dar... Sasa Tukiacha mambo haya yaende kiholela holela... Tutavuna mabua (aliwahi kughani Mrisho Mpoto)
Au ni kweli kwamba tunafanywa SHAMBA LA BIBI???
Mswahili akienda hapo hatatimuliwa kweli???
Kariakoo kuna Hotel kubwa tuu nayo pia imeandikwa lugha hii ya Kimandarin??? sema hiyo angalau... imeandikwa Sichuan Hotel...
Kesho kutwa Wachina (Sijajua kama wataruhusu jamii nyingine kushiriki??? wanafanya maandamano ya amani kupinga Mauaji ya mwenzao hapa Dar... Sasa Tukiacha mambo haya yaende kiholela holela... Tutavuna mabua (aliwahi kughani Mrisho Mpoto)
Au ni kweli kwamba tunafanywa SHAMBA LA BIBI???
Last edited by a moderator: