..............Mashindano ya Challenge kule Kampala ndo yanaishia.... leo Wa Tanzania Bara wameshindwa kufurukuta...... mbele ya Tanzania Zanzibar.... licha ya kupata goli la mapema wameonyesha jinsi walivyo..... kama walivyoonyesha udhaifu kwenye mechi kati yao na Uganda Cranes na kukubali magoli 3 - 0.... kuna bango lililoonyesha R. I. P. Tanzania..... wakati wa mechi hiyo....... :welcome: leo ndo nimeelewa maana halisi ya maneno hayo ....................