Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Kutoa taarifa kamili za Muhalifu inasaidia kuweka takwimu za kiusalama na taarifa muhimu za matukio. Kwa hiyo binafsi sijaona kosa hapo. Kuna watanzania wanakamatwa na dawa za kulevya au Uhalifu nchi za watu na hutajwa Utaifa wao. Mara kadhaa kuna majambazi yanakamatwa au kuuwawa na vyombo vyetu vya Usalama huwa yanatambuliwa na kutangazwa kama yametokea Kenya au Burundi......its called standard procedure.
There is NO such thing as a "Diplomatic Gesture" kwenye masuala ya UHALIFU.
There is NO such thing as a "Diplomatic Gesture" kwenye masuala ya UHALIFU.