Bangi na mirungi ni appertizer

BABA JUICE

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
426
52
ukiangalia bangi ni mmea wa asili na mirungi hivyo hivyo,hii mimea ukiangalia historia yake mababu zetu walikuwa wanatumia kama dawa na chakula,bangi ni mboga mzuri ikipikwa vizuri na pia walikuwa wakitumia kutuliza maumivu,mi mkoa niliotoka bangi inaota sana na nilikuwa nikitumia kama dawa ya masikio,mirungi sio mpenzi sana lakini ni moja ya natural caffein na kenya wana export katika nchi nyingi za kiarabu. ukiangalia historia ya bangi ilitumika kama scapegoat ili kucriminalize other dangerous drugs like.........crack,cocain,heroi...KAMA UNATAKA KUWA HIGH AND CLEAN BANGI IS THE GOOD CHOICE.....POMBE INAMAZARA MAKUBWA SANA SO STOP DRINKING AND SMOKING CIGARATE, BANGI NI NATURAL GROWN AND CIGARATE IS INDUSTRIAL MADE NA NI MBAYA KWA AFYA YAKO. MOSHI WA SIGARA NA BANGI NI MIMOSHI MIWILI TOFAUTI WA SIGARA UNA SUMU WA BANGI FRESH.NIKIWA RAISI BANGI UNALIMA UNAZA NA KODI UNALIPA

HII NI LIST YA MADAWA YA KULEVYA NA MAZARA YAKE UKIFIKA KWENYE BANGI(MARIJUANA) SEMA HIGH TO THE SKY!

Cocaine: this is an extremely powerful stimulant that is very addictive and has damaging effects on any animal that uses it. Cocaine is made from cocoa leaves and has been abused as narcotic substance for well over 100 years. Mostly manufactured in the South America's the pure version is called cocaine hydrochloride.
Crack: This is a much powerful and dangerous form of cocaine known as crack cocaine. It is actually the free-base form of the cocaine ("crack"). Crack is actually cocaine that has not been neutralized by any acid base that makes the hydrochloride salt which is cocaine in its most raw form. Crack is a rock crystal that is heated and the vapors inhaled. The name "crack" comes from the crackling sound one hears when the rock crystal is being heated.
Heroin: this highly addictive drug is a fast acting opiate. It is processed from morphine, a potent substance extracted out of the seed pod of poppy plants. Known on the street as black tar, heroin is usually injected and can lead to the worst addictive drug because it can be cut with other drugs such as crack and cocaine.
Hydrocodone: Known as antitussive (otherwise a cough suppressant) this is a[FONT=inherit ! important][FONT=inherit ! important][/FONT] drug for mild to severe pain that has been abused for its neurotic qualities. It is one of the most popular cough suppressants and is equally as powerful in pain neutralizers as morphine.[/FONT]
Inhalants
: This is not just any one drug but a combination of volatile solvents, nitrates, and gases. The inhalants are sniffed, snorted and inhaled to acquire a dunk feeling much [FONT=inherit ! important][FONT=inherit ! important][/FONT][FONT=inherit ! important][FONT=inherit ! important][/FONT][/FONT]of alcohol. The most popular inhalants are glue, cigarette lighter fluid, household cleaning fluids, and painting products. This is the most popular drug for minors to abuse as it is normally found around the home and access is free.[/FONT]
LSD: What is known as a lysergic acid compound that is a derivative of from ergot, the fungus used to develop on rye grass. More known for its therapeutic value it can also be abused.
Marijuana: The most comm. Illegal drug, marijuana or ganja is a dry, shredded mix of flowers, stems, seeds, and leaves of from the naturally grown Cannabis sativa. Though it is addictive is does have neurotic effects that can quickly damage the brain.
MDMA
(Ecstasy): A terrible drug that is synthetic and psychoactive dedicated to creating a hallucinogenic fervor. Acting as a stimuli and psychedelic Ecstasy creates an energy effect and creates distortions in reality, time and perception of the taker and ultimately creates a seemingly joyful experience.
Methamphetamine (Crystal Meth): Quickly becoming the drug of choice in the USA. Its is a deadly drug that is highly addictive and detrimental to the human central nervous system. Its stimulant properties can cause serious brain damage in passive smokers and inhalers of the drug as well.
OxyContin®: This is actually a prescription drug that in some countries can be found over the counter or OTC. It is a painkiller prescribed for moderate and acute pain relief caused by physical injuries, arthritis, back pains, and pain felt during cancer treatments.
Anabolic steroids: These are laboratory produced variants of male hormone testosterone. These are used to promote muscle growth, however has some very damaging[FONT=inherit ! important][FONT=inherit ! important][/FONT][FONT=inherit ! important][FONT=inherit ! important][/FONT][/FONT] such as brain damage and heart attacks.[/FONT]
 
ndugu nimekubali asilimia kubwa ya pointi zako isipo kuwa sio kila kitu natural kina madhara machache au kuna madhara pungufu na zajiwandani.
 
Nakuunga mkono arifu. Mizuka ya kaya hauwezi linganisha na pombe.
 
mtu anakuambia bangi ni mbaya wakati hajawai tumia..wala hata kuiona...tujifunze kwa vitendo na tuache kusema kitu kibaya wakati hata hukijui..bangi imefanyiwa uchunguzi wa kina maabara ikabainika ina faida kubwa katika mwili wa mwanadamu kuliko hasara...sababu serikali ilishadanga wanachi kwamba hichomkitu ni haramu inaogopa kurekebisha kauli.
 
wazungu waliupiga marufuku ili waendeleze uuzwaji wa sigara zao za viwandani , ila hakuna tofauti na sigara nyingine , wanaopinga hili ni mambummbmbu wa habari zilivo.
amka acha kufyata mkia.
 
Cannabis sativa<span style="color: rgb(51, 51, 51); font-family: Verdana; background-color: rgb(250, 250, 250); ">
yes am ganja farmer

Tru jah jah bless i with nuff a good vibes man
and true mi a di artist with di ganja inna di land
make doctors get nuff medication
and so dem coulda give it to dem sick patients
make get chemists get nuff medication
and so dem coulda brew new medication

make singers get some inspiration
and so dem coulda spread jah message pon di land... Me a chant



 
Last edited by a moderator:
Ire!
Huo ni 'mmea wa kondeni' yaani ni mtamu kweli kweli, ukiuonja tuu hutaacha
Obama, Kagame, Warioba, Kenyata, Jide, WemaSepetuka,n.k wanajua utamu wake!
 
Mdogo wangu toka aanze kuvuta bangi amekua kama chîz, ameranduka plus kuvurugwa, domo jeus kama kalamba masizi, limepanuka mwili ka licheza mieleka , bt asipovuta anakua mpole na mwenye heshima, akivuta anachange as if he isnt the one.
BANG MBAYA.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom