Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,263
- 9,184
Mara utasikia jeshi la polisi huko kanda maalum ya Tarime na Rorya imeteketeza magunia 50 na ekari mia saba za bangi. Hujakaa sawa mara wilaya moja ya kwa akina Nshomire ekari kadhaa za bangi zimeteketezwa kwa moto.
Sijawahi kusikia zile dawa zenyewe zenyewe zikiteketezwa kama vifaranga vya Arusha.
Huenda kutokana na athari zake ndio maana huteketezwa chini ya uangalizi maalum au ndo watasema huenda kuwapigia pindi wale mbwa wa polisi. Mie sielewi.
Jamani akina Genta a.k.a Mtukukaji,Paskali a.k.a mzee wa Nane nane ,Nyani Ngabu a.k.a mzee wa Kutema yai la kibabe(lkn halimfikii kiranga), Mshana a.k.a mwl Kashasha/Dr Leakey wa mambo yahusuyo uchawi na wadau wengine wooote wa JF. Naombeni majibu mujarabu
Sijawahi kusikia zile dawa zenyewe zenyewe zikiteketezwa kama vifaranga vya Arusha.
Huenda kutokana na athari zake ndio maana huteketezwa chini ya uangalizi maalum au ndo watasema huenda kuwapigia pindi wale mbwa wa polisi. Mie sielewi.
Jamani akina Genta a.k.a Mtukukaji,Paskali a.k.a mzee wa Nane nane ,Nyani Ngabu a.k.a mzee wa Kutema yai la kibabe(lkn halimfikii kiranga), Mshana a.k.a mwl Kashasha/Dr Leakey wa mambo yahusuyo uchawi na wadau wengine wooote wa JF. Naombeni majibu mujarabu