Banghi si njema.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Mchunga ng'ombe mmoja baada ya kupata cha-malawi cha kutosha,alianza kukimbia huku ameinama.Alipoulizwa ni kwanini anakimbia huku ameinama,akajibu;Mawingu yameshuka usawa wa kichwa changu.
 
Back
Top Bottom