Bandari zetu.

Mtoto wa Mkulima

JF-Expert Member
Apr 12, 2007
681
126
Sasa hivi meli za nnje haziendi Tena Tanzania kwasababu bandari ya Dar imejaa sana. Nilituma mzigo wangu ilibidi ukae Mauritius mwezi mmoja kabla haujafika huko. Tunabandari ya Mtwara lakini bado haiko sawa ile ingesaidia sana mizigo ya nchi za Malawi etc laini tatizo ni miundo mbinu.

Najiuliza jamani kwa sababu Tanga iko stategic area inabarabara safi, reli ipo population sio kubwa vile, gharama ya kuhamisha watu sio kubwa. Kwanini serikali isifanye mpango wa kuipanua hiyo bandari na ikiwezekana wajenge bandari mpya ya Tanga ambayo naamini itaweza kuipa Mombasa port competition kubwa sana naamini inawezekana kabisa. Naoamini hii ni project viable kabisa kwa simple analysis yangu. Najua inahitaji capital kubwa lakini najua makusanyo yatarudisha hizo pesa.

Kunakipindi serikali ilikuwa na mpango wa kujenga bandari Bagamoyo sijajua hili liliishia wapi. Nadhani kuna haja zaidi ya kuboresha bandari zetu hasa ya Dar na Tanga. Tunapoeza mabilion ya pesa jamani serikali mko wapi? Tutumie hii bahati mungu aliyotupa jamani. Inauma sana kuona tunakila kitu lakini we can not make money. WHY?
 
..kweli hali sasa inatisha!mizigo imelundikana na tumebaki kupiga politik tu!

..mtwara ni bandari nzuri kama itaendelezwa na tanga hali kadhalika!tatizo issues kama hizi huwa hazionekani kama priority!na ndio maana hatu-develop!

..halafu,miundombinu ni michakavu isiyoweza kusitahimili idadi ya mizigo inayoingia kwasasa,tatizo nayo haiboreshi,basi kaazi kwelikweli!
 
..kweli hali sasa inatisha!mizigo imelundikana na tumebaki kupiga politik tu!

..mtwara ni bandari nzuri kama itaendelezwa na tanga hali kadhalika!tatizo issues kama hizi huwa hazionekani kama priority!na ndio maana hatu-develop!

..halafu,miundombinu ni michakavu isiyoweza kusitahimili idadi ya mizigo inayoingia kwasasa,tatizo nayo haiboreshi,basi kaazi kwelikweli!

Ni kweli mkuu hiyo sio priority yetu na ukitaka kujua utaona watu hata hapa hamna mchangiaji. Nadhani priority zetu ziko kwenye kupiga umbea na siasa tuu ambazo hazisaidii.
 
Ni kweli mkuu hiyo sio priority yetu na ukitaka kujua utaona watu hata hapa hamna mchangiaji. Nadhani priority zetu ziko kwenye kupiga umbea na siasa tuu ambazo hazisaidii.

kuchangia kunatokana mapenzi ya mtu, issue inaweza kuwa nzuri, lakini wengi tukawa hatuna supporting evidence.

Kuhusu Bandari ya Dar, mimi binafsi sina evidence, mara ya mwisho niliship mzigo ulichukua wiki tatu ambayo mimi niliona ni fair, tatizo lilikuja TRA na Overestimate, Shpping Comp 'na house to house', ndipo nilipoboreka zaidi.

Kuhusu Bandari/Mtwara/Tnaga,
Kwa Mtwara kuna taarifa kuwa Serikali inampango wa kuiinua kuweza kupokea mizigo ya nje, ndio maana wanakazana kukamilisha barabara, na kuna ule mradi wa 'MTWARA CORRIDOR' na pia kuna lile daraja linalounganisha msumbiji na Bongo linakaribia kwisha.
Barabara kutoka Masasi hadi Mangaka inajengwa kwa msaada/mkopo/grant(wht ever) kutoka JAPAn/JICA.

Na pia ule uwanja wa ndege baadawe utarekebishwa ili kupokea ndege zinazotoka nje.

source: none
 
kwa kweli tatizo la bandari ya dar es salaam si udogo wa bandari bali ni namna ya kutoa mizigo iliyolundikana pale!! kazi hiyo inafanywa na TICTS!! kwa kuwa hawa hawana vifaa vya kutosha wanfanya kazi kwa kutegea na hata waambiwe vipi hawasikii. unajua nini kinawapa kiburi? wana mkataba wa kukodishwa container terminal kwa miaka 20 ambao ukuivunja ni kama ka IPTL fulani. yaani utalipa hela mpaka uchoke!! na si unajua mmiliki wa TICTS ni yule yule mtaalamu wa maskendo kinara wa buzwagi?

yule jamaaa ni mwisho. ndani ya ccm anaogopewa yule. EL ameshafanya ziara tatu za kushukiza pale TICTS (ingawa mzee wa buzwagi anakuwa na taarifa nazo kwa hiyo EL akifika anakuta siku hiyo kazi inapigwa kweli kweli na makontena yanamuv faster na anaambiwa tatizo ni kuwa siku hizi meli zinakuja nyingi. akiondoka ni bussiness as ussual). mitambo ya kukodishwa inarudishwa kwa wenyewe.

ila nasikia kuna siku el alijifanya kondakta wa lori akaenda pale TICTS usiku kuobserve ila watu wa mzee wa buzwagi pale usalama wa taifa wakamtell kuhusu hiyo ishu na EL akazodoka maana mzigo wao ulikuwa cleared in a very short time.
 
December 5, 2007: Poor performance at the port of Dar es-Salaam is undermining efforts to ease congestion at the Mombasa port, industry insiders said.

Importers said that while Mombasa has significantly reduced the number of days vessels are taking to dock at the port, waiting time remains unchanged at Dar-es-Salaam.

"What goes on in Dar has a direct impact on Mombasa because there is heavy diversion to Mombasa," a report compiled by the Inter Governmental Standing Committee on Shipping (ISCOS) and seen by the Business Daily said.

These delays are forcing ships to divert to Mombasa adding to the congestion crisis that the port has been trying to resolve.
The shipping lines now say they will have to introduce the decongestion measures agreed earlier this year upon the expiry of the moratorium period on December 31.

Part of the proposed measures include the introduction of a Vessel Delay Surcharge (VDS) on the port managers - a move that is expected to increase costs to port users.

Poor performance at the two ports prompted shipping lines to issue a notice of intention to impose a Sh12,800 fine for every extra day that a ship spends waiting to offload its cargo.

The shipping lines said they had been forced to introduce the measure to shield themselves from the losses incurred from extended turnaround times in the two ports. The amount chargeable was to be reviewed and adjusted in tandem with the additional costs accruing to the shipping lines.

It is estimated that failure to reduce congestion at Mombasa port would have forced Kenya Ports Authority (KPA) to pay Sh1.2 billion to the 21 registered shipping lines this year alone.

Implementation of a 24-hour working schedule in Mombasa has seen congestion ease at the port saving the management of the surcharge penalty.

KPA has also appointed two container freight stations (CFSs) - Consolbase and Mitchell Cotts as agents to handle new duty paid local containers.

The port has also set aside berths 13 and 14 for Maersk Line -the world's biggest shipping line and talks are on with six local truck companies to have them dedicate some of their trucks to transporting Inland Container Depots-bound cargo through bills of lading (TBL) arrangement.

Such cargo is currently moved by rail but an acute shortage of wagons has increased the pile up. By close of business last Friday, the CFS had handled a combined capacity of 5,372 boxes (6995 Total Equivalent Units) against the yard capacity of 4,500. It now takes three days to transfer containers from the CFS yard to the container terminus.

In the past five years, KPA has concentrated on upgrading its cargo and marine equipment at the port in a Sh7.5 billion programme.

Vibrancy in economies of hinterland countries-with average economic growths of 5.6 per cent per annum poses challenges on faster connectivity with the international markets .

Last month, KPA also received Sh16 billion loan from the Japanese Government to more than double the port's current container handling capacity through construction of a second container terminal, near the existing one.

Under the 10-year project, the port's harbour channel is to be dredged to an average depth of 15 metres and the turning basin also widened to enable Mombasa handle larger vessels, thus making it a world class and hub port for the region.

The additional container terminal -to be built on some 100 hectares of land next to the Kipevu Oil Terminal is expected to handle over 1.2 million units.

On completion in 2018, the phased-project is likely to make Mombasa one of the 20 top ports in the world in terms of performance and reputation.


Source:http://www.bdafrica.com/index.php?option=com_content&task=view&id=4702&Itemid=5810
 
Zaidi ya Bandari za Dar, Tanga na MTwara, Bandari ya Zenj ambayo sasa inafanyiwa matengenezo inaweza kwa kiasi kikubwa kupunguza mlundikano wa mizigo katika bandari ya Dar.
 
Zaidi ya Bandari za Dar, Tanga na MTwara, Bandari ya Zenj ambayo sasa inafanyiwa matengenezo inaweza kwa kiasi kikubwa kupunguza mlundikano wa mizigo katika bandari ya Dar.

Mkuu unajua hizi bandari kama zinafanya kazi vizuri na reli yetu tuliyoachiwa na mjerumani kama inafanya kazi vizuri na uhakika zitaingiza mapea mengi kuliko hata madini na impact yake kwenye uchumi ni kubwa sana. Unaona wenzetu wa Kenya wanataka Mombasa iwe kati ya bandari 20 kubwa duniani. That is gud dreams.
 
TICTS toka waingie pale hawajawekeza lo lote!

Mishahara kwa wazalendo ni kidogo licha ya kazi nyingi kufanywa na vibarua ambao wana miaka kadhaa bila ajira ya uhakika; Vifaa vingi vinavyotumika pale ni vile vile vya THA.

Ni moja ya mikataba inayohitaji mapitio ya kina!!
 
Usijichoshe Ndugu Yangu Hapo Kwetu Ni Longo Tu Na Wala Usishangae Ndugu Yangu Kwani Juzi Kati Hukusikia Lowasa Ameenda Kununua Mvua Thailandi? Na Baada Ya Siku Tatu Tukasikia Rais Wa Thailand Amepinduliwa. Haya Ni Yale Mambo Ya Prof J Chemsheni Bongo Wanangu Viongozi Hamna Hapo.
 
Wanawapiga Longo Ili Mzubae Waendelee Kuiba.kwani Kuna Haja Gani Ya Kujenga Bandari Bagamoyo Wakati Kuna Bandari Ya Tanga Ambayo Inahitaji Tu Ukarabati Kidogo Pamoja Na Nyongeza Ya Wafanyakazi?huu Ni Uenda Wazimu
 
Sasa Hivi Ktk Maisha Yangu Kitu Kinachoniuma Sana Roho Ni Pale Ninapofikiri Tu Juu Viongozi Wetu Tuliona Serikalini, Uwezo Wao Wa Kufikiri Na Maamuzi Yao Yananitia Presha Na Sijui Tutafanyaje Maana Ni Bomu Na Hawana Mbinu Na Hii Ndiyo Maana Wamefikia Mahala Mgonjwa Wa Tumbo Wanamfunga P.o.p
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom