Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 681
- 134
Sasa hivi meli za nnje haziendi Tena Tanzania kwasababu bandari ya Dar imejaa sana. Nilituma mzigo wangu ilibidi ukae Mauritius mwezi mmoja kabla haujafika huko. Tunabandari ya Mtwara lakini bado haiko sawa ile ingesaidia sana mizigo ya nchi za Malawi etc laini tatizo ni miundo mbinu.
Najiuliza jamani kwa sababu Tanga iko stategic area inabarabara safi, reli ipo population sio kubwa vile, gharama ya kuhamisha watu sio kubwa. Kwanini serikali isifanye mpango wa kuipanua hiyo bandari na ikiwezekana wajenge bandari mpya ya Tanga ambayo naamini itaweza kuipa Mombasa port competition kubwa sana naamini inawezekana kabisa. Naoamini hii ni project viable kabisa kwa simple analysis yangu. Najua inahitaji capital kubwa lakini najua makusanyo yatarudisha hizo pesa.
Kunakipindi serikali ilikuwa na mpango wa kujenga bandari Bagamoyo sijajua hili liliishia wapi. Nadhani kuna haja zaidi ya kuboresha bandari zetu hasa ya Dar na Tanga. Tunapoeza mabilion ya pesa jamani serikali mko wapi? Tutumie hii bahati mungu aliyotupa jamani. Inauma sana kuona tunakila kitu lakini we can not make money. WHY?
Najiuliza jamani kwa sababu Tanga iko stategic area inabarabara safi, reli ipo population sio kubwa vile, gharama ya kuhamisha watu sio kubwa. Kwanini serikali isifanye mpango wa kuipanua hiyo bandari na ikiwezekana wajenge bandari mpya ya Tanga ambayo naamini itaweza kuipa Mombasa port competition kubwa sana naamini inawezekana kabisa. Naoamini hii ni project viable kabisa kwa simple analysis yangu. Najua inahitaji capital kubwa lakini najua makusanyo yatarudisha hizo pesa.
Kunakipindi serikali ilikuwa na mpango wa kujenga bandari Bagamoyo sijajua hili liliishia wapi. Nadhani kuna haja zaidi ya kuboresha bandari zetu hasa ya Dar na Tanga. Tunapoeza mabilion ya pesa jamani serikali mko wapi? Tutumie hii bahati mungu aliyotupa jamani. Inauma sana kuona tunakila kitu lakini we can not make money. WHY?