cheusimangala_
Senior Member
- Dec 1, 2018
- 114
- 174
Mamlaka ya Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authority) ni shirika la umma linalofanya kazi zake chini ya Wizara ya Miundombinu. Na ina jukumu zima la kuongoza na kuendesha bandari za bahari na maziwa ya nchini Tanzania. Mamlaka hiyo ipo mjini Dar es Salaam na ni bandari mwanachama wa Jumuia ya Uongozaji wa Bandari za Kusini na Mashariki mwa Afrika.
Baadhi ya nchi zimepunguza gharama za usafirishaji pamoja na gharama za mafuta na sababu za kupunguza? Ni Waagizaji waliamua kutumia bandari ya Dar kwa sababu ya efficiency na charges ni reasonable efficient na well organised on oil issues kwa sababu ya mfumo wa bulk imports pamoja na kuwepo na ulinzi mzuri na imara, tofauti na nchi za wenzetu ambazo waigizaji imewapa ugumu sana ikiwepo nchi ya Kenya ambapo waagizaji wa mafuta wanapata ugumu kutokana na kuwa umbali mkubwa kwa kuwa wasafirisha hadi Kisumu jetty.
Hivyo bandari za Tanzania bado zitabaki kuwa bora katika nchi Afrika
Baadhi ya nchi zimepunguza gharama za usafirishaji pamoja na gharama za mafuta na sababu za kupunguza? Ni Waagizaji waliamua kutumia bandari ya Dar kwa sababu ya efficiency na charges ni reasonable efficient na well organised on oil issues kwa sababu ya mfumo wa bulk imports pamoja na kuwepo na ulinzi mzuri na imara, tofauti na nchi za wenzetu ambazo waigizaji imewapa ugumu sana ikiwepo nchi ya Kenya ambapo waagizaji wa mafuta wanapata ugumu kutokana na kuwa umbali mkubwa kwa kuwa wasafirisha hadi Kisumu jetty.
Hivyo bandari za Tanzania bado zitabaki kuwa bora katika nchi Afrika