Bandari ya Zanzibar inalindwa na wanajeshi miaka yote, why not Dar?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,779
Mh rais, embu kaangalie hilo Znz port ulifanyie kazi, utapunguza hawa matapeli wa makontena..
 
wanalinda physically tu au pamoja na mifumo
inayotumika kupiga miamala...?
wako.ndan.na.nje.kaka hadi kwenye.mihamala.wako lakn.wanavaa nguo za.kawaida we utajua wenzio nje na.hadi kutoa.makontena wana.jezi kabisa ...na wanatoa mzigo ukiwa.na.full.docs.n watu wanapelekwa training wanajua.nn.cha.kufanya ingawa vimemo avikosekani kakaa acha tu..
 
weka picha tujiridhishe
nenda znz.wala awaitaji picha bandarini unawaona.nje.na.ndani kamandaa...sasa weqee tu uwe unabadilisha na.mazingira sio.cocobeach tu kila siku.ona sasa wanauza sijui twende wapi..njoo znz
 
Sasa hapo kunatofauti gani kama vimeo vipo?si yale yale ya Dar, kwa sasa wahitajika watu wenye uchungu na nchi hii sio wenye uchu
 
Uongo wanajeshi wako pale tokea mchakato wa kampeni za uchaguzi uanze na ndio kawaida kila ikifika karibu na uchaguzi wanajeshi wanaletwa znz kushikilia nchi.
 
Back
Top Bottom