Bandari ya Mtwara yaanza kupokea shehena ya Mafuta kwa Mara ya kwanza

yamindinda

JF-Expert Member
Jul 29, 2011
1,581
1,318
36639424_1038303803012252_7564814434900639744_o.jpg

Bandari ya Mtwara imeanza rasmi kuhudumia shehena ya mafuta baada ya meli ya MV STI Brooklyn kutia nanga leo Jumanne, Julai 03, 2018 ikiwa na takribani tani elfu 10 za mafuta. Hii ni mara ya kwanza kwa meli hizo kuhudumiwa katika Bandari ya Mtwara.
 
36639424_1038303803012252_7564814434900639744_o.jpg

Bandari ya Mtwara imeanza rasmi kuhudumia shehena ya mafuta baada ya meli ya MV STI Brooklyn kutia nanga leo Jumanne, Julai 03, 2018 ikiwa na takribani tani elfu 10 za mafuta. Hii ni mara ya kwanza kwa meli hizo kuhudumiwa katika Bandari ya Mtwara.
Umeeleweka mkuu tena sana sana tu
 
labda kwa meli shirika hilo lkn kama meli za mafuta huwa zinafika pale miaka nenda rudi.. hii taarifa ingekuwa sawa kama ungesema kwa gati mpya ya kupakulia mafuta over... vinginevyo upupu tupu...
 
tyunahitaji hii bandari zilete ushindani kwa dar port ili bidhaa zishuke bei na kuondoa urasimu. mafuta ya [petrol kwa tanga yapo chini kuliko Dar, ukiwa Moshi Mjini unanunua petrol bei ya dar kwasababu yanapitia tanga. kwanini Dar kuna urasimu vile? ngoja tuone bei ya mafuta kwa Mtwara sasa
 
Back
Top Bottom