Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Wadau leo Dr Harison Mwakyembe amehitimisha bajeti yake huku watanzania tukiwa tunaendelea kuibiwa bandarini.
Naomba wale wajuvi wa mambo ya bandari mnisaidie na kuwasaidia watanzania wenzangu ambao wsnaibiwa pale bandarini bila kujua nini tunapaswa kufanya.
Hivi nikiingiza gari,kwa mfano Toyota hiace van,Noah na Rav 4.
gari zote zimeshapitisha miaka 10,
je kwa utaratibu wa bandari yetu ,Toyota hiace itatozwa kwa kigezo cha cc kati ya 1001-2000 na kuendelea?
au watatumia kigezo cha 10 pasenger and above?
hebu tazama vigezo vyao.
rates
TAX RATES
C.C Import Duty Excise duty Extra Depreciation Duty VAT
0-1000 25% - 20% 20%
1001-2000 25% 5% 20% 20%
2001 and above 25% 10% 20% 20%
Pick ups 15% 0% 0% 20%
Trucks (trucks for pulling semi-
trailers) 0% 0% 0% 20%
Buses (from 10 passengers) 25% 0% 0% 20%
Land cruiser Hard tops carrying from
Samahani sana wakuu najua haijakaa vizuri maana nime copy na kupest.
Je kodi za bandari zinatozwa je kwa kuzingatia huo mwongozo?
Je pindi mteja anapokuta gari haina vitu ambavyo awali vilikuwemo(mfano screen)
Jeki ,power window,power mirrow,je nitalalamika kwa nani ili nilipwe vitu vyangu?
Naombeni mnipe mwongozo hasa wale ambao mpo hapo bandarini.
Naomba wale wajuvi wa mambo ya bandari mnisaidie na kuwasaidia watanzania wenzangu ambao wsnaibiwa pale bandarini bila kujua nini tunapaswa kufanya.
Hivi nikiingiza gari,kwa mfano Toyota hiace van,Noah na Rav 4.
gari zote zimeshapitisha miaka 10,
je kwa utaratibu wa bandari yetu ,Toyota hiace itatozwa kwa kigezo cha cc kati ya 1001-2000 na kuendelea?
au watatumia kigezo cha 10 pasenger and above?
hebu tazama vigezo vyao.
rates
TAX RATES
C.C Import Duty Excise duty Extra Depreciation Duty VAT
0-1000 25% - 20% 20%
1001-2000 25% 5% 20% 20%
2001 and above 25% 10% 20% 20%
Pick ups 15% 0% 0% 20%
Trucks (trucks for pulling semi-
trailers) 0% 0% 0% 20%
Buses (from 10 passengers) 25% 0% 0% 20%
Land cruiser Hard tops carrying from
Samahani sana wakuu najua haijakaa vizuri maana nime copy na kupest.
Je kodi za bandari zinatozwa je kwa kuzingatia huo mwongozo?
Je pindi mteja anapokuta gari haina vitu ambavyo awali vilikuwemo(mfano screen)
Jeki ,power window,power mirrow,je nitalalamika kwa nani ili nilipwe vitu vyangu?
Naombeni mnipe mwongozo hasa wale ambao mpo hapo bandarini.