Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Wananchi wa Bagamoyo waishukuru Serikali ya CCM. Ni baada ya miaka kadhaa ya sintofahamu kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uliositishwa kutokana na viongozi wa awamu ya tano kukosa ten percent.
Wananchi wa Bagamoyo wamemshukuru Rais Samia kwa maamuzi yake ya kufufua mazungumzo ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo na kuahudi kumuunga mkono.
Mkazi wa Bagamoyo Mzee Maulid Idrisa amehoji wanaopinga mradi wa Bagamoyo walikuwa wapi kupinga mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege Chato. Amemalizia kuwa kama hawakupinga ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini wamuache Rais Samia afanye kazi yake kwenye bandari ya Bagamoyo.
Rais Samia
#Kazi Iendelee
Wananchi wa Bagamoyo wamemshukuru Rais Samia kwa maamuzi yake ya kufufua mazungumzo ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo na kuahudi kumuunga mkono.
Mkazi wa Bagamoyo Mzee Maulid Idrisa amehoji wanaopinga mradi wa Bagamoyo walikuwa wapi kupinga mradi wa ujenzi wa uwanja wa ndege Chato. Amemalizia kuwa kama hawakupinga ujenzi wa uwanja wa ndege kijijini wamuache Rais Samia afanye kazi yake kwenye bandari ya Bagamoyo.
Rais Samia
#Kazi Iendelee