Bandari ya Bagamoyo itang'oa wengi, Ndugai na Mwambe ni mwanzo tu

Tatizo kubwa la kwanza, watu mnaangalia the next 5 to 10 years!!

Nishasema mara elfu moja kidogo!! Bandari ya Dar es salaam imeshafikia kwenye "super saturated point"! Mimi binafsi nimekulia Kurasini lakini leo hii Kurasini karibu yote imeshavunjwa kuipisha Bandari ya Dar es salaam!!

Lakini pamoja na yote hayo, bado Bandari ya Dar es salaam inahudumia poorest countries... Tanzania, Malawi, Zambia, Rwanda, and the like! Kuhudumia nchi maskini tafsiri yake wala hakuna mzigo wa maana na wa kujivunia unaopita Bandari ya dar es salaam, na ndo maana, ni nadra sana kukuta meli 20 zikiwa zimetia nanga Bandari ya Dar es salaam wakati Mombasa ni jambo la kawaida sana kukuta hata meli 25-30 kwa wakati mmoja!!!

What's my point!

Hiyo Bandari ya Dar es salaam mnayojidanganya inatosha sana sio kwamba inatosha sana bali inahudumia nchi maskini!! Leo Tanzania tukifikisha angalau kama uchumi wa Kenya tu, Bandari ya Dar inaelemewa! Uchumi mkubwa maana yake ni ama more exports, or more imports or both!!

Hatuna bandari ya miaka 10-15 ijayo unless nchi iendelee kuwa maskini kama tulivyo, na majirani zetu nao waendelee kuwa maskini!

Hamna bandari ya ku-accomodate hata uchumi wa kawaida tu!!

Soth Africa bado ni nchi maskini tu lakini bado Durban Port peke yake haitoshi ku-accomodate SA Economy na matokeo yake wana bandari nadhani kama sio 5 basi 6, na hilo la "bandari hii itafanya kazi gani" halipo!!

But on top of that, mara kadhaa hapa tushasema Bagamoyo Port ilitarajiwa kuwa transshipment port and not like any other port! Pamoja na kuwa transshipment port pia ilitarajiwa iwe the export port na ndio maana mradi ilibidi uende sambasamba na Industrial City!

In short, China is no longer a point for cheap labor!! Take it from me: Usishangae kuona miaka 15 ijayo ukakuta bidhaa zinazalishwa Afrika ilipo cheap labor na kupelekwa China!! Kinachosua sua hadi leo ndo vile lack of skilled labors!!

hiyohiyo bandari ya daressalam mkabidhi mfalme wa dubai uone itakavyobadilishwa na kuwa ya kimataifa utaisahau
 
Magufuli hakukataa bali alitaka mkataba wenye mashiko,win win situation.
Sasa tuna Mama Samia,Kabudi,Majaliwa waje na mpya au maboresho aliyokuwa anataka mtangulizi wake.
 
hiyohiyo bandari ya daressalam mkabidhi mfalme wa dubai uone itakavyobadilishwa na kuwa ya kimataifa utaisahau
Bandari ya Dar es salaam kuna matatizo ya msingi mawili ambayo ili kuyakabili basi yanahitaji investment ya kufuru...

1. Dunia ya leo inaongelea next generation ships, also known as mega ships!! Ili kubana gharama za matumizi, watu wanahamia kwenye mega ships zitakazobeba mzigo in bulk, kisha wanaenda kufunga nanga kwenye mega ports, ili meli zingine za kawaida ziwe zinafuata mzigo kwenye mega ports.

Yaani, baada ya kuwa na msululu wa meli kutoka Chini na Japan kuja Africa, kunakuwa na only few mega ships ambazo zinazoa mizigo yote kutoa China na Japan inayokwenda Afrika, kisha meli hizo zinaenda kutia nanga kwenye nearest to Africa Mega Ports, ili hatimae meli kutoka say Kenya, Tanzania, South Africa ziende hapo!!

Kwa muktadha huu, ina maana meli kutoka sehemu zingine barani Africa badala ya kwenda moja kwa moja hadi China basi zingekuwa zinafuata au kuacha mizigo hapo Bagamoyo Mega Port!

Sasa hiyo Bandari ya Dar es salaam unayoisema ina changamoto ya Mlango wa Bahari. Kwa baadhi ya mega ships inaweza kuwa ngumu kupita pale!! Few months ago TPA broke their history kwa kupokea meli kubwa zaidi! Kubwa zaidi kwetu wakati urefu wa ile meli ni almost 200 wakati kuna meli zenye urefu wa hadi 400m.

2. Tatizo la pili ndo hilo nililotaja hapo mwanzo... Dar hakuna eneo! Ukitaka kuwa na next generation container terminal basi itabidi uendelee kuvunja zaidi! Sasa sijui utavunja wapi! Labda uivunje hadi Kilwa Road Barracks yote, Keko yote pamoja na makazi ya JWTZ ndipo unaweza kupata eneo la kutosha bila kusahau the whole of Tom Estate, Kurasini!

So, can you do that?
 
Bandari ya Dar es salaam kuna matatizo ya msingi mawili ambayo ili kuyakabili basi yanahitaji investment ya kufuru...

1. Dunia ya leo inaongelea next generation ships, also known as mega ships!! Ili kubana gharama za matumizi, watu wanahamia kwenye mega ships zitakazobeba mzigo in bulk, kisha wanaenda kufunga nanga kwenye mega ports, ili meli zingine za kawaida ziwe zinafuata mzigo kwenye mega ports.

Yaani, baada ya kuwa na msululu wa meli kutoka Chini na Japan kuja Africa, kunakuwa na only few mega ships ambazo zinazoa mizigo yote kutoa China na Japan inayokwenda Afrika, kisha meli hizo zinaenda kutia nanga kwenye nearest to Africa Mega Ports, ili hatimae meli kutoka say Kenya, Tanzania, South Africa ziende hapo!!

Kwa muktadha huu, ina maana meli kutoka sehemu zingine barani Africa badala ya kwenda moja kwa moja hadi China basi zingekuwa zinafuata au kuacha mizigo hapo Bagamoyo Mega Port!

Sasa hiyo Bandari ya Dar es salaam unayoisema ina changamoto ya Mlango wa Bahari. Kwa baadhi ya mega ships inaweza kuwa ngumu kupita pale!! Few months ago TPA broke their history kwa kupokea meli kubwa zaidi! Kubwa zaidi kwetu wakati urefu wa ile meli ni almost 200 wakati kuna meli zenye urefu wa hadi 400m.

2. Tatizo la pili ndo hilo nililotaja hapo mwanzo... Dar hakuna eneo! Ukitaka kuwa na next generation container terminal basi itabidi uendelee kuvunja zaidi! Sasa sijui utavunja wapi! Labda uivunje hadi Kilwa Road Barracks yote, Keko yote pamoja na makazi ya JWTZ ndipo unaweza kupata eneo la kutosha bila kusahau the whole of Tom Estate, Kurasini!

So, can you do that?
Ni bandari ya Dares salaam hiyo hiyo miaka 6 iliyopita ilikuwa haina uwezo wa kupokea meli yenye mita 100 lakini sasa umesema mwenyewe inapokea meli zenye zaidi ya mita 200 kimetokea nini??

Hicho kilichotokea kwa nini kisiendelee kutokea mpaka tupokee meli za mita 400?
 
hata mbowe na chadema walimdhihaki jpm na kusema mama anaupiga mwingi leo hii mbowe yupo mahabusu na chadema hawana ajenda ni matusi kwenda mbele yote laani ya kumdhihaki jpm
Kweli kabisa
 
Waziri Mwambe aliyetumbuliwa leo alifikia hatua ya kusema ujenzi wa bandari ya bagamoyo uliwekewa jiwe la msingi na rais wa nne Jakaya Kikwete bila mkataba wowote na akaenda mbali zaidi kwa kusema hayati rais Magufuli aliwandanganya watanzania kuhusu bandari ya bagamoyo na lazima ijengwe.

Spika aliyejihuzuru Job Ndugai alisafirishwa mpaka China kwa gharama za wachina na aliporudi akaanza kuponda ujenzi wa SGR na akaanza kupigia debe ujenzi wa bandari ya bagamoyo kwa kasi kubwa.
Mara baada ya kifo cha Magufuli ,Ndugai ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa serikali lazima iendelee na ujenzi wa bandari na kwamba Magufuli alipotosha.
Laana ya kumsaliti Magufuli itang'oa wengi na bado.

View attachment 2073735

Mada haina mantiki.
Au umekuwa kama mkia wa mbwa unataka kumtikisa mbwa?
 
Kama wachina watapitishia mizigo yao bagamoyo ,bandari ya Dar itakuwa na kazi gani?
We should not be short-sighted, we should look at 25 to 100 years to come. Dar port cannot withstand the influx of cargo if we widen the market of our ports. 1st the Dar port has many limitations because of its location, it has serious limits. Bagamoyo is open to the main sea and actually no limit to its expansion. Kama Magufuli alilipinga sio kigezo cha kutokuliangalia upya labda waliokuwa wememzunguka hawakuweza kumweleza vizuri. We should not be tied up by his decision, he was not God. He was a human being just like me and you. Economic opportunity haiji mara mbili, kuna kupata an kutoa siku hizi ni win win situation not one sided. Be prepared mentally for the unexpected decision. Kenya wameililia hiyo opportunity wachina wamewatolea nje sisi tunajikanyagakanyaga, wavivu was kifikiri kisa aliepita alikataa.
 
UKWELI MTUPU!
IMG-20220219-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom