Bandari ya Bagamoyo itang'oa wengi, Ndugai na Mwambe ni mwanzo tu

Mara baada ya kifo cha Magufuli ,Ndugai ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutangaza kuwa serikali lazima iendelee na ujenzi wa bandari na kwamba Magufuli alipotosha.
Laana ya kumsaliti Magufuli itang'oa wengi na bado.
Wewe ni MUONGO!!

Hata wakati wa JPM, msimamo wa Ndugai kuhusu Bandari ya Bagamoyo ulikuwa ule ule ambao aliutaja wakati wa SSH!!!

Hata wakati JPM akiwa hai, Ndugai aliishangaa serikali ya JPM inavyosita sita kuhusu Mradi wa Bandari ya Bagamoyo!

Na hakuna mfuasi wa Mradi wa Bandari anayeweza kupinga mradi wa SGR lakini ni mwehu tu ndie anaweza kushangilia SGR isiyo na mkakati wa namna gani itakuwa utilized!!
 
Wewe ni MUONGO!!

Hata wakati wa JPM, msimamo wa Ndugai kuhusu Bandari ya Bagamoyo ulikuwa ule ule ambao aliutaja wakati wa SSH!!!

Hata wakati JPM akiwa hai, Ndugai aliishangaa serikali ya JPM inavyosita sita kuhusu Mradi wa Bandari ya Bagamoyo!

Na hakuna mfuasi wa Mradi wa Bandari anayeweza kupinga mradi wa SGR lakini ni mwehu tu ndie anaweza kushangilia SGR isiyo na mkakati wa namna gani itakuwa utilized!!
Kwa kweli Ndugai stance on the Bagamoyo issue has been straight forward.

The viability of the project.

Kwa msimamo usiyoyumba Tunampongeza
 
Wakati sisi tunachaniana nguo kuhusu Bandari ya Bagamoyo tayari Kenya wameshapindua meza.

Wachina sasa hawana mpango tena na SGR na Bagamoyo port wamehamishia Kenya, Lamu, Dhibuti na SGR ya Kenya itajengwa kwa ufadhili wa China toka Mombasa hadi Uganda, Rwanda, Bunrundi, Congo, South Sudan.

Ethiopia hadi Eritrea na kuiuunganisha na Kenya.

Sisi huku tunademka tu ooh Magu alikataa basi tusikubali Bandari ya Bagamoyo ijegwee.
 
Wakati sisi tunachaniana nguo kuhusu Bandari ya Bagamoyo tayari Kenya wameshapindua meza Wachina sasa hawana mpango tena na SGR na Bagamoyo port wamehamishia Kenya, Lamu, Dhibuti na SGR ya Kenya itajengwa kwa ufadhili wa China toka Mombasa hadi Uganda, Rwanda, Bunrundi, Congo, South Sudan. Ethiopia hadi Eritrea na kuiuunganisha na Kenya. Sisi huku tunademka tu ooh Magu alikataa basi tusikubali Bandari ya Bagamoyo ijegwee.
Tayari SGR ya dizeli ipo Kenya na inafqnyakazi kwa miaka 5 sasa ,sijui wewe unazungumzia bandari ipi
 
Tayari SGR ya dizeli ipo Kenya na inafqnyakazi kwa miaka 5 sasa ,sijui wewe unazungumzia bandari ipi
We are not on the same page man.

Look for facts, if you increase the coverage of SGR the Mombasa part should be expanded or Lamu port be constructed.

Sasa wewe huelewi nini?
 
Wakati sisi tunachaniana nguo kuhusu Bandari ya Bagamoyo tayari Kenya wameshapindua meza Wachina sasa hawana mpango tena na SGR na Bagamoyo port wamehamishia Kenya, Lamu, Dhibuti na SGR ya Kenya itajengwa kwa ufadhili wa China toka Mombasa hadi Uganda, Rwanda, Bunrundi, Congo, South Sudan. Ethiopia hadi Eritrea na kuiuunganisha na Kenya. Sisi huku tunademka tu ooh Magu alikataa basi tusikubali Bandari ya Bagamoyo ijegwee.
Hamna mradi uliohamishiwa Kenya...

Kilichopo ni kwamba, tangu zamani Kenya wali-fight sana ule Mradi wa Bandari ya Bagamoyo na SGR yake uwe Lamu, na hatimae ku-serve East and Central Corridor lakini bado Mchina aliendelea kuweka interest yake Bagamoyo!!

Sasa kwa hofu kwamba Bandari ya Bagamoyo ingeimeza Mombasa, ndipo Kenya wakaamua kuendelea na Lamu Project huku wakihamisha focus from East and Central Corridor na ku-target north... South Sudan and Ethiopia!!

Role ya Mchina kwenye hiyo miradi ni kukopesha tu kama ambavyo walifanya Sri Lanka, na sio kama walivyokuwa wamekusudia Bagamoyo!!

Na hapa Kenya wakeshe wakisali Bandari ya Bagamoyo isijengwe kwa sababu ikijengwa, Kenya itapata shida sana kulipa madeni yake kwa sababu, China ambayo ndie exporter mkubwa duniani , mizigo mingi kutoka huko kuingia kanda hii ya Afrika itakuwa inafikia Bagamoyo!
 
Shida ya Waafrika tumeenda shule lakini bado ni wajinga sana.

Yaaani hakuna kitu tunathamini kama maslahi binafsi.

Hapa kuna wengine mnajenga hoja ilimladi tu unanufaika na unachokiamini.

Oooh! Africa ..
 
Shida ya Waafrika tumeenda shule lakini bado ni wajinga sana. Yaaani hakuna kitu tunathamini kama maslahi binafsi. Hapa kuna wengine mnajenga hoja ilimladi tu unanufaika na unachokiamini. Oooh! Africa ..
Sasa kwanini na wewe usijenge hoja zako yenye maslahi kwa taifa?! JF ni jukwaa la kuelimishana, kwahiyo mwaga nondo, mzee!
 
Hamna mradi uliohamishiwa Kenya...

Kilichopo ni kwamba, tangu zamani Kenya wali-fight sana ule Mradi wa Bandari ya Bagamoyo na SGR yake uwe Lamu, na hatimae ku-serve East and Central Corridor lakini bado Mchina aliendelea kuweka interest yake Bagamoyo!!

Sasa kwa hofu kwamba Bandari ya Bagamoyo ingeimeza Mombasa, ndipo Kenya wakaamua kuendelea na Lamu Project huku wakihamisha focus from East and Central Corridor na ku-target north... South Sudan and Ethiopia!!

Role ya Mchina kwenye hiyo miradi ni kukopesha tu kama ambavyo walifanya Sri Lanka, na sio kama walivyokuwa wamekusudia Bagamoyo!!

Na hapa Kenya wakeshe wakisali Bandari ya Bagamoyo isijengwe kwa sababu ikijengwa, Kenya itapata shida sana kulipa madeni yake kwa sababu, China ambayo ndie exporter mkubwa duniani , mizigo mingi kutoka huko kuingia kanda hii ya Afrika itakuwa inafikia Bagamoyo!
Kama wachina watapitishia mizigo yao bagamoyo ,bandari ya Dar itakuwa na kazi gani?
 
Kama wachina watapitishia mizigo yao bagamoyo ,bandari ya Dar itakuwa na kazi gani?
Tatizo kubwa la kwanza, watu mnaangalia the next 5 to 10 years!!

Nishasema mara elfu moja kidogo!! Bandari ya Dar es salaam imeshafikia kwenye "super saturated point"! Mimi binafsi nimekulia Kurasini lakini leo hii Kurasini karibu yote imeshavunjwa kuipisha Bandari ya Dar es salaam!!

Lakini pamoja na yote hayo, bado Bandari ya Dar es salaam inahudumia poorest countries... Tanzania, Malawi, Zambia, Rwanda, and the like! Kuhudumia nchi maskini tafsiri yake wala hakuna mzigo wa maana na wa kujivunia unaopita Bandari ya dar es salaam, na ndo maana, ni nadra sana kukuta meli 20 zikiwa zimetia nanga Bandari ya Dar es salaam wakati Mombasa ni jambo la kawaida sana kukuta hata meli 25-30 kwa wakati mmoja!!!

What's my point!

Hiyo Bandari ya Dar es salaam mnayojidanganya inatosha sana sio kwamba inatosha sana bali inahudumia nchi maskini!! Leo Tanzania tukifikisha angalau kama uchumi wa Kenya tu, Bandari ya Dar inaelemewa! Uchumi mkubwa maana yake ni ama more exports, or more imports or both!!

Hatuna bandari ya miaka 10-15 ijayo unless nchi iendelee kuwa maskini kama tulivyo, na majirani zetu nao waendelee kuwa maskini!

Hamna bandari ya ku-accomodate hata uchumi wa kawaida tu!!

Soth Africa bado ni nchi maskini tu lakini bado Durban Port peke yake haitoshi ku-accomodate SA Economy na matokeo yake wana bandari nadhani kama sio 5 basi 6, na hilo la "bandari hii itafanya kazi gani" halipo!!

But on top of that, mara kadhaa hapa tushasema Bagamoyo Port ilitarajiwa kuwa transshipment port and not like any other port! Pamoja na kuwa transshipment port pia ilitarajiwa iwe the export port na ndio maana mradi ilibidi uende sambasamba na Industrial City!

In short, China is no longer a point for cheap labor!! Take it from me: Usishangae kuona miaka 15 ijayo ukakuta bidhaa zinazalishwa Afrika ilipo cheap labor na kupelekwa China!! Kinachosua sua hadi leo ndo vile lack of skilled labors!!
 
Back
Top Bottom