Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndiyo yale yaliyosemwa na Marehemu?

Nipeleke shauri wakati sijui chchte kuhusu kama kikwete alikula hela za Richmond wala Sina ushahidi wowote.... Kwann usipeleke wewe uliesema alikula hela za richmond wa bongo mnapenda ramli hapo ukute hujui lolote na ww story tu za vijiweni ila unavoongea utadhani mligawana na kikwete hizo hela
Sasa kama hujui chochote unatakiwa ukae kimya ama unabishana nini kijana au umeshiba mandazi kwa shemeji yako hapo😅 subiria marudio ya tamthilia uangalie 😎
 
Unaejua umeshindwa ku ongea hapa... Hii sio Facebook bwana mdogo kama mambo hujui uliza sio unaongea kama na ww mshirika wa kikwete
Siwezi kuongea na mtu ambaye anabisha asichokijua 😅 tatizo la watoto wa .com huwa akili hamna! Usilete ushabiki wa akina diamond na harmonize kwenye mambo serious...
 
Mzee wa Msoga ni twasira halisi na kamili ya mwafrika...UPIGAJI punde upatapo nafasi.
👇
Life Reflection Unless you understand your role in society, you can never make any meaningful contribution. According to the Greeks there are three types of people on earth: - the idiots, - the tribesmen, and - the citizens. Studies show only 10% of Africans are citizens. The remaining 90% are either tribesmen or idiots. 2. When the Greeks used the word "idiot", they did not use it as a curse word. Idiots are people who just don’t care. If they write exams, they will cheat. If they are in government they will steal. An idiot does not care at all, if he eats bananas he throws the peels anywhere instead of putting them in a trash bin. According to the Greeks, some societies have more idiots than tribesmen and citizens. 3. The next set of people are "tribesmen", these are people that look at everything from the point of view of their tribe. These are people that believe in you only if you are part of their tribe. It can be terrible to have a tribesman as a leader, he will alienate the rest. When the Greeks talk about tribes, it’s not just about ethnicity, they also consider religion as a tribe. A great percentage of Africans are tribesmen, because they view everything from the point of view of their tribes. They trust only their tribesmen. 4. The last group are "citizens". These are people that like to do things the right way. They will respect traffic light rules, even if no one is watching them. They drive within speed limits. They respect the laws, won’t cheat in exams. In government they won’t steal. They are compassionate and give to others to promote their wellbeing. Citizens often promote projects that benefit everyone. The Greeks called this group the citizens. Some countries have more citizens than tribesmen and idiots. Others have so many idiots. A tribesman can become a citizen through orientation. And an idiot can become a citizen by training and constant enforcement of the law. But things fall apart if you elect an idiot or tribesman to lead you if he has not been reformed. Where do you belong? Are you an idiot, a tribesman or a citizen? Reflect about your life. Reflect about your country and Africa in general before you answer. Food for thought.
Hii inatakiwa itafsiriwe kwa kiswahili na iwe mojawapo ya topic kwenye somo la uraia.
Haya ma idiots na tribesmen yanaitwa mapunguani kwa kiswahili.
Ni lazima watu wajitambue kuwa wao ni wananchi au mapunguani?

Hata hivyo, kutumia andiko hili kumtuhumu Rais mstaafu JK siyo sawa, hii ni reflection ya jamii kwa ujumla wake.
Ukitafuta facts, yawezekana JK akawa nafuu kuliko wengine.
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Yalisemwa kwamba?
 
Siwezi kuongea na mtu ambaye anabisha asichokijua tatizo la watoto wa .com huwa akili hamna! Usilete ushabiki wa akina diamond na harmonize kwenye mambo serious...
Huna lolote ujue kuhusu Richmond ww kama Nani.... Umebaki kusema alikula hela, nchi nzima hii ww ndo unaejua alikula hela, usiongee jambo hujui wala huwez lijua wala halipo mahala popote kiushahidi.. Huo ndo utoto na ulimbukeni.
 
Endelea kuamini mawazo na chuki za watu ambao kwao wanaua vikongwe kwa sababu wana macho mekundu Kwa kaamini kuwa ni wachawi!

Labda kama na wewe ni mmoja wapo kama mwenzako Suzy Elias maana ndo Naona mmeanzisha id mpya humu Kwa mikakati yenu ya kutengeneza nadharia na matango Pori kuwadanganya watu kwa chuki zenu tu!

Wewe Kikwete auze Gesi au Eneo la Bagamoyo alafu na Whistleblowers wa WikiLeaks au Panama papers huko wasione au kusema popote?
Twambie gesi inayozalishwa kwa sasa ni yetu au sisi tunaitumia kwa kununua kwa hao wenye nayo?

je kikwete alipoweka jiwe la msingi bandali ya bagamoyo mkataba ulikua bado au ulikua umefungwa tayali, au makubaliano ya awali yalikua yapo au hayakuwapo?

Je jambo hilo linawezekana kuzindua bila makubakiano?
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Sasa kwa kutumia uelewa wa kawaida bandari ya bagamoyo haiwezi kuwa ya kwetu moja kwa moja kwa kuwa kutakuwa na uwekezaji mkubwa uliowekwa na mwekezaji China.Baada ya kipindi cha muda fulani nadhani kipo kwenye mkataba tutakabidhiwa tuiendeshe wenyewe but kipindi ambacho mwekezaji anarudisha gharama zipo tozo na mrahaba tutakuwa tunakusanya plus ajira zitokanazo na bandari pamoja na viwanda ambavyo vitaambatana na bandari ile ya bagamiyo.Kwa kuwa itakuwa lango kuu la kupitishia mizigo kwa maana hata ukuaji wa biashara katika nchi yetu utakuwa mkubwa mno ukilinganisha na sasa.Maoni yangu mradi wa bagamoyo tunauhitaji zaidi kuliko sisi unavyotuhitaji mh Rais aidhinishe haraka utekelezaji wake.
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Marehemu muongo sana yule.
 
Natamani mtu mmoja atusaidie kutuambia ukweli kwa mambo yafuatayo.

1. Je, Gesi ya Mtwara ni ya Kwetu ama tulishauza tukaweka mpunga kwapani?

2. Je, Bandari ya Bagamoyo itakuwa yetu ama ndo yale yaliyosemwa na marehemu?
Nadhani JPM alipenda kupeleka pesa zote kanda ya ziwa na kuna miradi mingi tu ilikufa kwasababu tu ipo kanda fulani.
 
Endelea kuamini mawazo na chuki za watu ambao kwao wanaua vikongwe kwa sababu wana macho mekundu Kwa kaamini kuwa ni wachawi!

Labda kama na wewe ni mmoja wapo kama mwenzako Suzy Elias maana ndo Naona mmeanzisha id mpya humu Kwa mikakati yenu ya kutengeneza nadharia na matango Pori kuwadanganya watu kwa chuki zenu tu!

Wewe Kikwete auze Gesi au Eneo la Bagamoyo alafu na Whistleblowers wa WikiLeaks au Panama papers huko wasione au kusema popote?
Mkuu, ili ueleweke, ungetaja machache tu ya "legacy" yake JK nchini ili wenye chuki dhidi yake wanyamaze
 
Nadhani JPM alipenda kupeleka pesa zote kanda ya ziwa na kuna miradi mingi tu ilikufa kwasababu tu ipo kanda fulani.
Sasa si uanzishe uzi ndugu?

Mi hapa nataka majibu ya hayo mambo mawili.
 
Hebu punguza kiherehere, umejigeuza msemaji wa kila kiongozi humu ndani.

Hao whistleblowers wa Wikileaks au Panama ni majini wajue kila kitu?
Mbona tunao whistleblowers wetu, hao waachwe waendelee na ya kwao. Isitoshe hao hawawezi kufanya whistleblowing kwa masuala yenye faida kwa nchi zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom