Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Sasa kama hujui chochote unatakiwa ukae kimya ama unabishana nini kijana au umeshiba mandazi kwa shemeji yako hapo😅 subiria marudio ya tamthilia uangalie 😎Nipeleke shauri wakati sijui chchte kuhusu kama kikwete alikula hela za Richmond wala Sina ushahidi wowote.... Kwann usipeleke wewe uliesema alikula hela za richmond wa bongo mnapenda ramli hapo ukute hujui lolote na ww story tu za vijiweni ila unavoongea utadhani mligawana na kikwete hizo hela