Itoye
JF-Expert Member
- Sep 29, 2017
- 531
- 1,024
Wanasiasa na wabunge wanaoshadadia hiyo bandari kama wana nia njema na wanajua wanachokifanya nilidhani hatua ya kwanza ingekua ni kuishinikiza serikali iuweke wazi huo mkataba ili terms na conditions zake zote zijulikane then waone kwa nini JPM aliukataa.
Binafsi naona ni jambo la kheri alivyoukataa maana kama mkataba ni wa hovyo still tuko salama na tuna fursa ya kuamua kwa uhuru tuachane nao au tuendelee nao kwa terms mpya, lakini vipi kama angeukubali halafu kumbe mkataba ni wa kinyonyaji na ndio tungekua tumeshauingia na kutoka si rahisi au gharama ni kubwa?
Pamoja na mapungufu lakn tulikuwa tumefika pazuri na tunaelekea pazuri na modality ya Tanzania kwanza, Tanzania kwanza, una ulazima gani wa kukimbilia vipya tena vyenye masharti magumu ilhali una vya kwako ambavyo unaweza ukavirekebisha, ukaviboresha, ukavisimamia vizuri na vikakupa matokeo mazuri. Ktk issue kama hizi hisia na mahaba ya kivyama na kiitikadi tukifanikiwa kuweka pembeni tutafanikiwa sana.
Binafsi naona ni jambo la kheri alivyoukataa maana kama mkataba ni wa hovyo still tuko salama na tuna fursa ya kuamua kwa uhuru tuachane nao au tuendelee nao kwa terms mpya, lakini vipi kama angeukubali halafu kumbe mkataba ni wa kinyonyaji na ndio tungekua tumeshauingia na kutoka si rahisi au gharama ni kubwa?
Pamoja na mapungufu lakn tulikuwa tumefika pazuri na tunaelekea pazuri na modality ya Tanzania kwanza, Tanzania kwanza, una ulazima gani wa kukimbilia vipya tena vyenye masharti magumu ilhali una vya kwako ambavyo unaweza ukavirekebisha, ukaviboresha, ukavisimamia vizuri na vikakupa matokeo mazuri. Ktk issue kama hizi hisia na mahaba ya kivyama na kiitikadi tukifanikiwa kuweka pembeni tutafanikiwa sana.