Banda la CHADEMA na CCM Ushirombo,

chitambikwa

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
3,941
900
Nimetembelea madhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika hapa ushirombo bukombe shinyanga ambapo yameandaliwa kiwilaya. kuna mabo mengi sana hasa kuhusu
1.kilimo &ufugaji
2. Mazao ya misitu
3.vyeti vya kuzaliwa vinatolewa bure na mabanda mengi ya halimashauri ya bukombe.

Nikaamua kutembelea mabanda ya vyama vya siasa ambavyo nimeviona CHADEMA na CCM

KWA CHADEMA:
kuna watu kama 30 na wote wananunua kadi (Tshs500), na kuomba bendela, wanaulizia siasa za igunga na kalenda zenye viongozi wa cdm. Wahusika wameniambia wamegawa kama kadi 600 tangu j3 na kukusanya taarifa za ufisadi kutoka kwa wananchi. Wamealikwa kufungua matawi mapya na kupewa ng'ombe 6 wa kuendeleza mapambano. Wengine wamekuja kushukuru.

ccm
Nimekuta watu wawili ambao wamenikaribisha vizuri na kunipa kofia. Wanasema hawana shida na wanachama wapya kwa kuwa si msimu wake na kusema wanagawa tshirt kw wanaopenda. mezani kulikuwa na kadi mpya na zingine kwenye box
. Nimekaa kam nusu saa hivi sikuona mtu anatembelea banda lao labda watu 4 walipita kwa karibu na kunyosha vidole viwili.
Nilipotoka kuna watu wakaniita fisadi mie nikacheka
 

Attachments

  • Image0319.jpg
    Image0319.jpg
    374.2 KB · Views: 137
  • Image0318.jpg
    Image0318.jpg
    414.2 KB · Views: 83
  • Image0317.jpg
    Image0317.jpg
    438.5 KB · Views: 76
  • Image0316.jpg
    Image0316.jpg
    392.8 KB · Views: 62
  • Image0315.jpg
    Image0315.jpg
    372.4 KB · Views: 61
Nimetembelea madhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika hapa ushirombo bukombe shinyanga ambapo yameandaliwa kiwilaya. kuna mabo mengi sana hasa kuhusu
1.kilimo &ufugaji
2. Mazao ya misitu
3.vyeti vya kuzaliwa vinatolewa bure na mabanda mengi ya halimashauri ya bukombe.

Nikaamua kutembelea mabanda ya vyama vya siasa ambavyo nimeviona CHADEMA na CCM

KWA CHADEMA:
kuna watu kama 30 na wote wananunua kadi (Tshs500), na kuomba bendela, wanaulizia siasa za igunga na kalenda zenye viongozi wa cdm. Wahusika wameniambia wamegawa kama kadi 600 tangu j3 na kukusanya taarifa za ufisadi kutoka kwa wananchi. Wamealikwa kufungua matawi mapya na kupewa ng'ombe 6 wa kuendeleza mapambano. Wengine wamekuja kushukuru.

ccm
Nimekuta watu wawili ambao wamenikaribisha vizuri na kunipa kofia. Wanasema hawana shida na wanachama wapya kwa kuwa si msimu wake na kusema wanagawa tshirt kw wanaopenda. mezani kulikuwa na kadi mpya na zingine kwenye box
. Nimekaa kam nusu saa hivi sikuona mtu anatembelea banda lao labda watu 4 walipita kwa karibu na kunyosha vidole viwili.
Nilipotoka kuna watu wakaniita fisadi mie nikacheka

Angalia hapo kwa bluu then kwa nyekundu...thank you
 
asante sana mheshimiwa kwa kutupa vitu LIVE kwani hujui tu ndugu yangu umeuburudisha vipi mchana wangu kwa habari hii kwani sasa hadi Bukombe kweli nimekubali Mungu ibariki Tanzania na Mungu ibariki CHADEM na watu wake.
 
Slowly Tanzania itakombolewa na wenye Nchi hii .Msirudi nyuma katika kumwaga sumu kwa uhakika.
 
I like it! It shows which party is growing at the time it shows which party is deteorating. Thank you buddy
 
Peoplezzzzzzz... Yaani hapa castle inatelemka poa kabisa. Kumbe mpk usukumani tunakubalika. Wabeja ng'osha!
 
Kudanganyana ni mkakati wa wafa maji, poleni sana.....siasa yataka timing
Umesema kweli. Inategemea ni nani anayesema! Waliodanganywa siku zote wameshamjua aliyewadanganya, huyo mpya atakayekuja kama atawadanganya, wadanganyika hawajajua bado.
 
Kudanganyana ni mkakati wa wafa maji, poleni sana.....siasa yataka timing
ni vema sana mukaangalia haya mambo kwenye eneo la tukio kuliko kujifariji mkiwa mbali mwisho wa siku nchi inakwenda kama huamni angalia munavyo pata taabu sana kwenye uchaguzi na jinsi mnavyo tumia nguvu kubwa kupata ushindi
 
Back
Top Bottom