Ban kutoka kwa mwl. Rose1980

bacha

JF-Expert Member
Aug 19, 2010
4,282
797
Mwalimu wangu Rose kakataa leo nisijibu maswali yote ya darasani!!!!haya nipo break kwa muda!!!!!!!!!!!!
 
we bacaha nimekwambia stak uchokoz...kwanini uniite mwalimu?
mwalimu asi yule wa mwandiko kwan mimi mwalimu wa mmwandiko na maandish??
kaa kimya nimekwambia mwone vle.....chek spellng uko makosa kibaooooooooooo ata sjaelewa umeandka nin
 
we bacaha nimekwambia stak uchokoz...kwanini uniite mwalimu?
mwalimu asi yule wa mwandiko kwan mimi mwalimu wa mmwandiko na maandish??
kaa kimya nimekwambia mwone vle.....chek spellng uko makosa kibaooooooooooo ata sjaelewa umeandka nin

sasa si ndivyo ulivyonifundisha ticha!!!!
 
bas upo huru kwa msamaha wa rais....ahh yan mimi mwalimu wa mwandko ??ahh apana naandamana......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom