Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Balozi zetu nje zinamwakilisha nani? Tanzania na watu wake au CCM? Je, Watanzania walio nje ni CCM tu? Kwani nini mawasiliano ya CCM yako kwenye tovuti ya Ubalozi wa Tanzania-UK? Si ndio serikali kubagua watu wake kiitikadi za vyama? Nini maana ya Mawasiliano ya CCM hapo na Diplomasia ya Uchumi?