imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,682
- 71,029
Wakuu baada ya kuangalia vile vipindi vya VOA kuna kitu nimekuona kwa kutumia jicho langu la tatu,nikashangaa sana sana.
Balozi alionekana Anawasiwasi huku dhahiri sura yake ikionesha kama kagonga Glass,pia mashavu yake na Ule mustachi ambao haukufanyiwa Trimming haukufua Dafu kwa kwa
Crew cut ya Tundu Atipass Mugwai Lissu.
😁😁😁😁😁😁😊😊
Balozi alionekana Anawasiwasi huku dhahiri sura yake ikionesha kama kagonga Glass,pia mashavu yake na Ule mustachi ambao haukufanyiwa Trimming haukufua Dafu kwa kwa
Crew cut ya Tundu Atipass Mugwai Lissu.
😁😁😁😁😁😁😊😊