Balozi wa Zimbabwe kasharudi Dar

Kuhani

JF-Expert Member
Apr 2, 2008
2,944
64
Tuliambiwa Bungeni kwamba Harare walimwita nyumbani.

118618.jpg

France Ambassador to Tanzania Jacques
Champaigne de Labriolle (R) welcomes
Zimbabwean Ambassador Extraordinary &
Plenipotentiary to Tanzania Major General
E.Chimonyo at the ambassador`s residence
in Dar es Salaam on Monday to mark France`s
National Day.

IPPMEDIA
17 Jul 2008
 
sasa cha ajabu nini? amerudi ndio, wewe ulitaka asirudi? don't be biased na wazungu wenu hao, ukiona mzungu kamchukia mtu na wewe unamchukia. tatizo la zimbabwe kila mtu analifahamu. lakini cha kushangaza, hadi waafrica wanalaliwa na wazungu kimawazo. go back to the Lungcuster agreement. unafikiri mugabe ni mjinga kung'ang'ania madaraka? kuna fukuto linafukutaga toka mda mrefu, na wazungu ndo wamesababisha yote haya, mugabe asilaumiwe. na watz msokuwa na akili mnasapoti chochote kinachosemwa na mzungu. pusi.
 
Back
Top Bottom